Mtu anapokuwa ameoa au kuolewa; maana yake ameamua kutulia na mpenzi wake kihalali; lakini kutokana na tamaa, uaminifu katika ndoa limekuwa swala gumu sana;
Swali; Je, utafanyaje ikitokea Katika kuhangaika ukagundua au ukamuona mwenza wako kakuwekea dawa ya kunasiana pindi utakapochepuka? Kwanini utachukua maamuzi hayo? Je; kisheria kesi za kunasiana ni kosa la jinai?
Swali; Je, utafanyaje ikitokea Katika kuhangaika ukagundua au ukamuona mwenza wako kakuwekea dawa ya kunasiana pindi utakapochepuka? Kwanini utachukua maamuzi hayo? Je; kisheria kesi za kunasiana ni kosa la jinai?