Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Nov 6, 2011 Thread starter #21 MzeeWaShamba said: mkuu fanyia kazi ushauri huu...... Click to expand... huu ushauri nimeupenda
Caroline Danzi JF-Expert Member Dec 19, 2008 3,713 1,263 Nov 6, 2011 #22 Bujibuji said: kazi rahisi sana, unamvuta mkono na kumwambia twende ukawakatikie na kuwatuza watoto yatima, nyambafu Click to expand... Ukiona vipi muinamishe akukatiikie wewe, siyo lazima muwe nyumbani kwenu weka program mkienda muziki basi anakutakia hadharani.
Bujibuji said: kazi rahisi sana, unamvuta mkono na kumwambia twende ukawakatikie na kuwatuza watoto yatima, nyambafu Click to expand... Ukiona vipi muinamishe akukatiikie wewe, siyo lazima muwe nyumbani kwenu weka program mkienda muziki basi anakutakia hadharani.
Viol JF-Expert Member Dec 15, 2009 25,426 18,228 Nov 6, 2011 Thread starter #23 Caroline Danzi said: Ukiona vipi muinamishe akukatiikie wewe, siyo lazima muwe nyumbani kwenu weka program mkienda muziki basi anakutakia hadharani. Click to expand... sasa si ndo hapo ataanza kupaparikia hao wasanii
Caroline Danzi said: Ukiona vipi muinamishe akukatiikie wewe, siyo lazima muwe nyumbani kwenu weka program mkienda muziki basi anakutakia hadharani. Click to expand... sasa si ndo hapo ataanza kupaparikia hao wasanii