Utabiri wangu mechi ya ngao ya jamii kati ya Yanga na Simba

giphy.gif


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu mwezi kwa wale wataalam wa nyota na unajimu wanasema huu ni msimu wa Simba
Huu uzi umeandikwa na mpiga ramli mashuhuri kabisa kusini mwa jangwa la sahara.
2022-08-12 10.40.29.png

Hapo juu ni utabiri wa mechi ya fa iliyopita. Unaweza kuona tofauti ya dakika katika goli la kwanza kati ya nilivyotabiri na kilichokuja kutokea. Pia Nabi asingemtoa makambo kabla ya dakika ya 78, lazima Makambo angefunzga tena kwa boko ya Onyango.

Wana Simba naomba kwenye mikeka ya kesho tumpe Yanga ili tumfilisi Kanjibai.

Nguvu moja, nyuma mwiko.
 
Back
Top Bottom