Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,204
- 4,692
Wana JF
Nawasalimu wote
Nianze kwa kusema mimi sio Mganga wala Nabii ila ninenayo ndiyo ukweli unaotokana na uhalali wa hatimiliki kwa mujibu wa maagano.
Hizo namba tajwa hapo juu yaani 2 na 3 zina wenyewe ila bahati mbaya tu kipindi hiki kifupi wenyewe wamezikosa bila kutarajia na zinatumiwa na wengineo kwa bahati mbaya tu!
Hata hivyo kwa kuwa wenye namba zao wapo na huwa hawashindwi basi lazima substitution ifanywe ili mmojawapo hususani namba tatu akae pembeni asubiri muda muafaka arejee dimbani.
Substitution kwa nambari tatu haitokani na yeye kukosa uwezo! Hoja ni kuwa kwa sasa anacheza namba isiyo yake kulingana na desturi ya upangaji wa timu!
Wenye hatimiliki hawakujua kama haya yangalitokea hata hivyo maadamu yameshatokea basi lazima yajipange kuanzia sasa ili wamiliki wanachostahili.
Ni namba zao kwa mujibu wa maagano & mazingira halisi ya sasa!
Ni lazima iwe hivyo na ni suala la muda tu na wala usipoteze nguvu kunibeza.
Muda utaongea
Wasalaam
Nawasalimu wote
Nianze kwa kusema mimi sio Mganga wala Nabii ila ninenayo ndiyo ukweli unaotokana na uhalali wa hatimiliki kwa mujibu wa maagano.
Hizo namba tajwa hapo juu yaani 2 na 3 zina wenyewe ila bahati mbaya tu kipindi hiki kifupi wenyewe wamezikosa bila kutarajia na zinatumiwa na wengineo kwa bahati mbaya tu!
Hata hivyo kwa kuwa wenye namba zao wapo na huwa hawashindwi basi lazima substitution ifanywe ili mmojawapo hususani namba tatu akae pembeni asubiri muda muafaka arejee dimbani.
Substitution kwa nambari tatu haitokani na yeye kukosa uwezo! Hoja ni kuwa kwa sasa anacheza namba isiyo yake kulingana na desturi ya upangaji wa timu!
Wenye hatimiliki hawakujua kama haya yangalitokea hata hivyo maadamu yameshatokea basi lazima yajipange kuanzia sasa ili wamiliki wanachostahili.
Ni namba zao kwa mujibu wa maagano & mazingira halisi ya sasa!
Ni lazima iwe hivyo na ni suala la muda tu na wala usipoteze nguvu kunibeza.
Muda utaongea
Wasalaam