Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,191
- 46,234
Tukishinda mechi ya leo kuna uwezekano mkubwa wa kucheza playoff ya kwenda Qatar 2022.Hii mechi inanini ndani yake mbona watu mnaizungumzia hivi..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukishinda mechi ya leo kuna uwezekano mkubwa wa kucheza playoff ya kwenda Qatar 2022.Hii mechi inanini ndani yake mbona watu mnaizungumzia hivi..?
Kumbe na vipi ikiwa draw au kunakupigwa penati..?Tukishinda mechi ya leo kuna uwezekano mkubwa wa kucheza playoff ya kwenda Qatar 2022.
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂 natamani kuandika lakini naogopaMagwiji wa footbal tukutane hapa leta utabiri wako dhidi ya mechi la kimataifa baina ya Taifa stars vs DRC nikianza mm utabiri wangu ni kama ifuatavyo.
Taifa stars anashinda 3.1DRC
Wafungaji
1 Fei toto wa yanga
2 Saimon msuva
3 Fei toto anafunga tena
CONCLUSION ; DRC anakufa goli tatu kwa bila
Leteni utabiri wenu
TUKUTANE QATAR 2022
saa kumi mzeee....................................quotation yako inachekesha mkuu
Inapigwa 2 kwa sifuriMagwiji wa footbal tukutane hapa leta utabiri wako dhidi ya mechi la kimataifa baina ya Taifa stars vs DRC nikianza mm utabiri wangu ni kama ifuatavyo.
Taifa stars anashinda 3.1DRC
Wafungaji
1 Fei toto wa yanga
2 Saimon msuva
3 Fei toto anafunga tena
CONCLUSION ; DRC anakufa goli tatu kwa bila
Leteni utabiri wenu
TUKUTANE QATAR 2022
Ngoja tusubiri...........but tusije kimbia uzi huuKwenye ndoto niliyoota; Majira ya saa tisa usiku ndoto ilivyo anza tayari Taifa Stars 1 Congo Drc 1 . Dakika za baadae nikamuona Sammata akiifungia goli kali Taifa stars . Mpaka dakika 90 zinaisha , Taifa Stars inaibuka na Ushindi wa goli 2 na Congo Drc 1 .
lkn pia Tanzania ndo inaongoza africa kwa kusambaza umeme vijijinTaifa Stars watakung'utwa tu kwa vile CCM na Serikali imetia mkono hapo. Hawa watu ni nuksi sana kwani miaka 60 ya Uhuru wako madarakani lakini Tanzania ni.mojwapo ya nchi masikini sana duniani.
Dua yangu inakaribia kukubaliwaKwa kuepusha aibu za mbeleni bora ikalishwe kesho