Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Wakati baadhi ya watu wakitabiri baadhi ya wapinzani kutorudi bungeni pia kuna ya watu tumetabiri kuna wabunge wa CCM wafuatao hawatorudi bungeni ifikapo 2020
1. Mwigulu Nchemba huyu jimbo lake litachukuliwa na Kitila Mkumbo
2. Harison Mwakyembe huyu jimbo lake litachukuliwa na Tulia ackson
3.Joseph Lusheku Msukuma huyu jimbo lake litachukuliwa na Paul Makonda
4. Juma Nkamia huyu jimbo lake litachukuliwa na Ngimba Acley ambae atakuwa ametoka CUF na kujiunga na CCM
5. Elibariki Kingu huyu jimbo lake litachukuliwa na Profesa Kabudi
Haya endeleea kutabiriii ni wabunge gani 2020 tutawakosa bungeni 2020
1. Mwigulu Nchemba huyu jimbo lake litachukuliwa na Kitila Mkumbo
2. Harison Mwakyembe huyu jimbo lake litachukuliwa na Tulia ackson
3.Joseph Lusheku Msukuma huyu jimbo lake litachukuliwa na Paul Makonda
4. Juma Nkamia huyu jimbo lake litachukuliwa na Ngimba Acley ambae atakuwa ametoka CUF na kujiunga na CCM
5. Elibariki Kingu huyu jimbo lake litachukuliwa na Profesa Kabudi
Haya endeleea kutabiriii ni wabunge gani 2020 tutawakosa bungeni 2020