Mpeni sifa Yesu
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 646
- 129
however, si tz peke yake inayofanya uchaguzi mwaka huu. kuna nchi zingine nyingi tu africa hapa zinafanya uchaguzi mwaka huu.
Ni kweli kuna nchi nyingi za Afrika zinafanya uchaguzi, lakini kwa East Africa ni Rwanda, Burundi na Tanzania ndizo zinazofznya uchaguzi mwaka huu, Rwanda na Burundi tayari na marais wa zamani wamerudi tena kwa kishindo. Iliyobaki ni Tanzaniahowever, si tz peke yake inayofanya uchaguzi mwaka huu. kuna nchi zingine nyingi tu africa hapa zinafanya uchaguzi mwaka huu.
mimi nilota pia!
Kwamba slaa atashimda, ila atawekewa zengwe ikiwa ni pamoja na kuswekwa ndani kwa tuhuma za uchochezi.
Atanyanyaswa kama mandela , japo kwa muda mfupi, lakini mwisho watu mahiri wataingilia kati, tena bila umwagaji damu , aachiliwe.
Hapo atakabidhiwa nchi na kuiongoza kule tutakako.
Na nikaota, jk ameshika tama, haamini kinachotokea. Ameichukia jf kuliko chochote.
Niliota, na tazama nilimwona jk akisukuma gari kwenye matope, huku mikono yake ikiwa imechafuka. Nikamwambia kwamaba hiyo ndiyo hali ya watanzania wengi.
Si utani, nimeota hivyo, ama kwa ajili ya mabishano mengi ya kisiasa, au kama ni ndotu tu, sijui....
Ila:
Kwa yeye (jk) kuwapigia magoti wazee wa ccm yaani, mwinyi, mkapa, suamaye na mangula, ni wazi anajaribu kujitoa kwenye tope alilozama ndani yake. Ni vile nilivyoota akichafuka mikono na kukata tamaa....
Kuna uwezekano kabisa kwamba, kwa kuwarudia wazee, jk yuko matopeni....na hivyo anazidi kudidimiza jahazi, kwnai mbinu za hao wazee ,kamwe haziwezi endana na mbinu za kina miraji, riziwani, nk.....ni lazima kutakuwa na ubishani wa mikakati na hivyo kuididimiza zaidi matopeni ccm na watu wake.
Ni ndoto, ingawa ndoto zangu naamini kwa asilimia 90 plus!
Mchungaji maarufu dunia Joshua ameonyeshwa kwenye maono yake uhuni wa NEC na haya ni maneno yake:
There is a country in East Africa, it has election this year,the opposition willwin but it wont rule, bring the flag of that country so that we pray for it!
My take here:
CCM we want peace, tazama hata watumishi wa mungu wanaonyeshwa juu ya anguko lako,
Nilisoma humu kuwa TB Joshua alitabili kuhusu uchaguzi wetu watu wakapinga hii hapa video.
Nilisoma humu kuwa TB Joshua alitabili kuhusu uchaguzi wetu watu wakapinga hii hapa video.
PAKISTAN PRIME MINISTER PLOT PROPHESIED BY TB JOSHUA
by TB Joshua The SCOAN (videos)
3:27
On 6th June 2010, Prophet T.B. Joshua gave a call to pray for the protection of the Prime Minister of Pakistan, prophesying that there would be a plot to kill him. On Thursday, 14th October 2010, it happened! News broke out that Pakistani police arrested a group of seven militants who plotted to kill the Pakistani Prime Minister, Yousuf Raza Gilani in an attack at his residence.
Stay tuned for the full confirmation of this prophecy coming soon on Emmanuel TV.
Click link to watch Video Videos Posted by TB Joshua The SCOAN: PAKISTAN PRIME MINISTER PLOT PROPHESIED BY TB JOSHUA | Facebook
@ BUTOLA Wewe ni . . . . . .Watu walikuwa wanampinga sasa mimi nimeweka moja ya utabili wake ambao kaonyeshwa na Mungu sasa wewe kinakuuma nini? au wewe mgonjwa mimi lengo langu hapa na dhibitisha kuwa TB huwa anatoa tabili za kweli kutoka kwa Mungu wewe una akili kama jina lako lilivyo. uache kukurupuka kabla haujasoma vizuri uliza swali.