Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alitabiri kwamba kuna nchi katika Africa Mashariki ambayo itakuwa na uchaguzi hivi karibuni, matokeo yake wapinzani watashinda lakini hawataruhusiwa kutawala. Aliomba bendera ya nchi husika kwa lengo la kuiombea.
me sijasema ametabiri kuhusu uchaguzi lakini kuna watu wamesema mimi najaribu kuweka wazi moja ya tabiri zake ambayo imeniacha mdomo wazi..kuhusu uchaguzi nikumuomba Mungu tu! Kila mtu na mungu wake..
masuala ya T.B Joshua wa SCOAN si mepesi namna hiyo kuyatambua. Nimepita kwenye tovuti moja nikakuta anashutumiwa kuwa ni mtumishi wa shetani.
Hebu jionee mwenyewe hii video na ujiamulie:-
masuala ya T.B Joshua wa SCOAN si mepesi namna hiyo kuyatambua. Nimepita kwenye tovuti moja nikakuta anashutumiwa kuwa ni mtumishi wa shetani.
Hebu jionee mwenyewe hii video na ujiamulie:-
Alitabiri kwamba kuna nchi katika Africa Mashariki ambayo itakuwa na uchaguzi hivi karibuni, matokeo yake wapinzani watashinda lakini hawataruhusiwa kutawala. Aliomba bendera ya nchi husika kwa lengo la kuiombea.
masuala ya T.B Joshua wa SCOAN si mepesi namna hiyo kuyatambua. Nimepita kwenye tovuti moja nikakuta anashutumiwa kuwa ni mtumishi wa shetani.
Hebu jionee mwenyewe hii video na ujiamulie:-
masuala ya T.B Joshua wa SCOAN si mepesi namna hiyo kuyatambua. Nimepita kwenye tovuti moja nikakuta anashutumiwa kuwa ni mtumishi wa shetani.
Hebu jionee mwenyewe hii video na ujiamulie:-
Mathayo 12:24-28;
12:24 Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.
12:25 Basi Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, hufanyika ukiwa; tena mji au nyumba yo yote ikifitinika juu ya nafsi yake, haitasimama.
12:26 Na Shetani akimtoa Shetani, amefitinika juu ya nafsi yake; basi ufalme wake utasimamaje?
12:27 Na mimi nikitoa pepo kwa Beelzebuli, je! Wana wenu huwatoa kwa nani? Kwa sababu hiyo hao ndio watakaowahukumu.
12:28 Lakini mimi nikitoa pepo kwa Roho wa Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajilia.
Remember never back down
Junius Brother, Kuna tofauti sana kati ya utabiri wa Sheikh Yahya na utabiri wa wachungaji, Muumini wa kweli aliyejitoa kwa Mungu anayo haki ya Maono, maana nyakati za mwisho mungu amemwaga roho kwa wana wote wa binadamu ili waweze kuona maono na kutabiri.Nilifikiri sheikh Yahaya Hussein tu...kumbe hata wachungaji ni watabiri!!!???
Calvary greetings in the mighty name of Jesus Christ from The Synagogue, Church Of All Nations.
We have received inquiries from various persons in Tanzania regarding a rumour that is being spread throughout the country concerning Tanzanias upcoming elections. The rumour states that a prophecy was given by Prophet T.B. Joshua concerning these elections and the parties involved.
We, The Synagogue, Church Of All Nations, hereby state that there was no prophecy given by Prophet T.B. Joshua regarding Tanzania, her government, or her people.
Please note with utmost importance: If a prophecy has been revealed by Prophet T.B. Joshua, it will first be broadcast on Emmanuel TV and subsequently posted on our websites: www.scoan.org and www.emmanuel.tv
We continue to keep the nation of Tanzania, her people and her leaders in prayer. For the only way to show someone you love them is by praying for them. We love the nation of Tanzania and believe, by Gods grace, that the best is yet to come.
Emmanuel! God is with us!
The SCOAN
Welcome to SCOAN | The Synagogue, Church Of All Nations | Home
info@scoan.org
Junius Brother, Kuna tofauti sana kati ya utabiri wa Sheikh Yahya na utabiri wa wachungaji, Muumini wa kweli aliyejitoa kwa Mungu anayo haki ya Maono, maana nyakati za mwisho mungu amemwaga roho kwa wana wote wa binadamu ili waweze kuona maono na kutabiri.
Ushuhuda wa kweli, Katika nyakati ambazonatokea kumtafuta mungu Nimeona mambo mengi sana na mengi yametokea, Kuna nyakati nimeona nikiwa nimefumba macho, wakati mwingine nikiwa usingizini na hata Sauti ikisema na mimi kwa taratibu sana. Inahitaji sana kujitoa na kutenga muda kwa ajili ya MUNGU. MUNGJ anamajibu ya mambo mengi sana yanayotutatiza. Yapo mambo mengi ambayo siwezi kuyasema yote hapa, lakini ni kweli juu ya Maono.
Mchungaji maarufu dunia Joshua ameonyeshwa kwenye maono yake uhuni wa NEC na haya ni maneno yake:
There is a country in East Africa, it has election this year,the opposition willwin but it wont rule, bring the flag of that country so that we pray for it!
Amen. May Our Almighty God intervene the situation. Shetani pisha njia!!
Jamani mimi namuamini asilimia mia huyu TB Joshua. Kwa miaka miwili sasa nearly every sunday ninapokuwa home huwa naangalia live misa yao hat leo ntaangalia.
Huyu jamaa anatabiri hata majanga ya asili, km mafuriko, matetemeko ya ardhi ile volcano ya iceland iliyoleta vumbi ulaya nzima alitabiri mwezi mzima kabla na ikatokea precisely na livyosema, anyway jpili iliyopita sikuangalia ile misa yote na hata re-broadcast yake ya J'tano niliangalia mwanzoni tu. Kama mchungaji huyu kasema jamani ndivyo itakavyokuwa, si unaona CCM wanaandaa jeshi?
Kuamini au kutoamini ni imani yako coz hata yesu kuna watu walimpinga na wanaendelea kumpinga. Better is not good enough,the best is yet to come.
Nimepata hii email kutoka kwa SCOAN leo. Habari ndo hiyo...hajatabiri lolote juu ya Tanzania: