Nianze kwa kusema utabiri wangu utajikita zaidi kwenye hali yakisiasa na uchumi ila ikiwa tu serikali yangu haito badili sera za uchumi kwa walizo kuw nazo ktk mwaka 2020.
Ajira niwazi kuwa kwa kipindi kimepita sera za serikali haziku stimulate uajiri ktk secta nyingine ukiacha ujenzi ndio secta imenufaika zaid. Hivyo kuna dalili idadi ya vijana wasio kuwa na ajira itazidi kuongezeka ikiwa sera za kubana matumizi itaendelea nakupeleka pesa kwenye miradi mikubwa na kuongeza miradi mpya. Hivyo watafuta ajira wenzangu kwenye hili tujipange.
Pato la mtu binafsi litashuka au kupanda ikitegemea aina ya secta uliopo
Uwezo wa kununua purchasing power utazidi kushuka ikiwa sera ya serikali yakubana na kuto ongeza mishahara itakuwa kama ya miaka ilio pita ikumbukwe wafanyakazi ndio wanunuzi wakubwa ilakutokana na sera za kubana matumizi wafanyakazi wamejikuta na wao wakibana kuweza pata fedha yakujikimu mambo mengine.
Kuwepo na tetesi za makampuni kupunguza watu niukweli usio pingika kutokana na sera za kikodi Taz Administratio act 2015 pamoja na mabadiliko madogo ya 2017 makampuni mengi yapo kwenye mtihani wa either kulipa madeni ya serikali na kushindwa jiendesha au kupunguza watu ili wawezi kujiendesha japo kwa hasara ila wapate chochote kitu. Ktk hali kama hiyo Taasisi nyingi zitakapo shindwa pata misamaha ya kodi basi tujiandae kwa option ya kupunguza. Secta binafsi kama taasisi za mawasiliano, usafirishaji na fedha zitaumia sana na kupunguza watu.
Secta ya kifedha na miamala ya fedha uwenda pia ikatikisika kutokana na sheria ngumu za kifedha zitakazo sababisha kupigwa fine kubwa na kufunga biashara.
Biashara ndogo za vitu vidogo vidogo lina athiriwa na soko la china na kodi za ndani hivyo wale wafanyabiashara tufanye biasha kwa u smart kuepuka hasara.
Secta ya kilimo ndani na nje ndio secta itafanya vizuri kwa watu watawekeza vizuri kwenye hii secta watafurahia.
Madini pia itafanya vizuri kutokana na sera zilizopo japo bado sijajuwa kwa upande wa kodi.
Siasa...
Nitaendelea..
Ajira niwazi kuwa kwa kipindi kimepita sera za serikali haziku stimulate uajiri ktk secta nyingine ukiacha ujenzi ndio secta imenufaika zaid. Hivyo kuna dalili idadi ya vijana wasio kuwa na ajira itazidi kuongezeka ikiwa sera za kubana matumizi itaendelea nakupeleka pesa kwenye miradi mikubwa na kuongeza miradi mpya. Hivyo watafuta ajira wenzangu kwenye hili tujipange.
Pato la mtu binafsi litashuka au kupanda ikitegemea aina ya secta uliopo
Uwezo wa kununua purchasing power utazidi kushuka ikiwa sera ya serikali yakubana na kuto ongeza mishahara itakuwa kama ya miaka ilio pita ikumbukwe wafanyakazi ndio wanunuzi wakubwa ilakutokana na sera za kubana matumizi wafanyakazi wamejikuta na wao wakibana kuweza pata fedha yakujikimu mambo mengine.
Kuwepo na tetesi za makampuni kupunguza watu niukweli usio pingika kutokana na sera za kikodi Taz Administratio act 2015 pamoja na mabadiliko madogo ya 2017 makampuni mengi yapo kwenye mtihani wa either kulipa madeni ya serikali na kushindwa jiendesha au kupunguza watu ili wawezi kujiendesha japo kwa hasara ila wapate chochote kitu. Ktk hali kama hiyo Taasisi nyingi zitakapo shindwa pata misamaha ya kodi basi tujiandae kwa option ya kupunguza. Secta binafsi kama taasisi za mawasiliano, usafirishaji na fedha zitaumia sana na kupunguza watu.
Secta ya kifedha na miamala ya fedha uwenda pia ikatikisika kutokana na sheria ngumu za kifedha zitakazo sababisha kupigwa fine kubwa na kufunga biashara.
Biashara ndogo za vitu vidogo vidogo lina athiriwa na soko la china na kodi za ndani hivyo wale wafanyabiashara tufanye biasha kwa u smart kuepuka hasara.
Secta ya kilimo ndani na nje ndio secta itafanya vizuri kwa watu watawekeza vizuri kwenye hii secta watafurahia.
Madini pia itafanya vizuri kutokana na sera zilizopo japo bado sijajuwa kwa upande wa kodi.
Siasa...
Nitaendelea..