tikakami wa lopelope
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,377
- 673
Nataka nijue kama Mwl Nyerere alikwisha wahi kutabiri hii ania ya Demokrasia iliyo buniwa juzi usiku hapo Zimbambwe?
Zipi ni sifa za hao criminals wanao mzunguka Mugabe ambao jeshi la huko linawasaka kwa udi na uvumba?
Zipi ni sifa za hao criminals wanao mzunguka Mugabe ambao jeshi la huko linawasaka kwa udi na uvumba?