"Nampenda Raid wangu Mheshimiwa John Pombe Joseph Magufuli..!"
"Mabasi yatasafiri usiku..''
" Boda boda wasibughudhiwe na mishikaki ni rukhusa..''
Sent using Jamii Forums mobile app
Pride comes before a fall."Aliyeingia hapa baada ya mimi kufika hapa atoke njee"
"..Kama umekuja na ilani nyoosha mkono nayo juu hata kama wewe huna we nyooosha kuonyesha kwamba huna..Hebu tuanze na jeshi la polisi hapo...."
-all is well-
Kwa sasa takukukuru wanapigapiga Chenga kutomweka ndani lugola kwa makosa yaleyale waliowekwa ndani....duh
Tuwe wanyenyekevu hata tunapokuwa juu.
Kwa sasa takukukuru wanapigapiga Chenga kutomweka ndani lugola kwa makosa yaleyale waliowekwa ndani....duh
Ni mlarushwa mbobezi.Lugora arishapatwa na kesii hixi maraaa nyingiiiii
Don't make a promise you can't fulfill...