Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,395
TAHADHARI ya Mvua Kubwa imetabiriwa kwa maeneo ya mikoa ya Mbeya, Songwe, Njombe, Ruvuma na Morogoro kusini. Tafadhali CHUKUA TAHADHARI UWEZEKANO WA KUTOKEA: WA MKUBWA
KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI (Mafuriko kutokea katika maeneo mengi na kuathiri jamii nzima, kuvurugika kwa usafiri na barabara kubwa kutopitika, hatari kwa maisha kutokana na maji kujaa au yanayopita kwa kasi)
ANGALIZO la Mvua Kubwa imetabiriwa kwa maeneo ya Mikoa ya Singida, Dodoma, Iringa na Tabora.
Tafadhali ZINGATIA NA UJIANDAE UWEZEKANO WA KUTOKEA: WA WASTANI
KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI.
(Mafuriko kutokea katika mitaa na kusababisha msongamano wa magari na watu na hivyo kuchelewesha usafirishaji hasa katika maeneo ya mijini
KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI (Mafuriko kutokea katika maeneo mengi na kuathiri jamii nzima, kuvurugika kwa usafiri na barabara kubwa kutopitika, hatari kwa maisha kutokana na maji kujaa au yanayopita kwa kasi)
ANGALIZO la Mvua Kubwa imetabiriwa kwa maeneo ya Mikoa ya Singida, Dodoma, Iringa na Tabora.
Tafadhali ZINGATIA NA UJIANDAE UWEZEKANO WA KUTOKEA: WA WASTANI
KIWANGO CHA ATHARI ZINAZOWEZA KUTOKEA: WASTANI.
(Mafuriko kutokea katika mitaa na kusababisha msongamano wa magari na watu na hivyo kuchelewesha usafirishaji hasa katika maeneo ya mijini