Elections 2010 Utabiri wa ajabu watimia

GAGL

JF-Expert Member
Aug 5, 2010
390
392
Ilitamkwa waziwazi na viongozi akiwemo na mgombea urais ccm kuwa LAZIMA WASHINDE kwa zaidi ya asilimia 80, hili lilitiliwa mkazo na wasomi wasaliti kama prof. Mukandara kupitia taasisi zao dhalimu. Huu ni utabiri wa ajabu kwa kuwa umeweka neno LAZIMA, ambalo inatakiwa tulijengee hoja wazalendo wenzangu. Kwa maneno mengine ccm walikuwa wanasema kwa wapinzani wazalendo kama Rais wangu Dr.Slaa, kuishinda ccm, ni sawa na kuomba samaki kwa mmasai. Lakini kuna kitu cha kujadili hapa jamvini, ushindi huu uliotabiliwa kiajabu, ulitarajiwa kutoka wapi na nguvu ipi? Nguvu ya dola au Nguvu ya uma(peoples power) 'wakati tunajadili naomba msaada wa mawazo na hasa upande wa kisiasa, kwa sababu nataka kugombea ubunge 2015 sikonge kupitia chama cha watu, Chadema' nawasilisha.
 
nisiite utabiri niuite "ulazimishaji wa ushindi" kwa taiffa kama tz huwezi pata stats za kweli na ukajtambia kwa ntapata 80 na kweli upate. weka kichwani wananchi hapa wapo dynamic sana kwa maana halisi ya kiswahili wapo vigeugeu,unaweza muuliza shwali leo akajibu sababu mtu fulani nae kajibu hivyo, yeye haelewi anatakiwa ajibu nini, kesho akachange,so kupata stats sahihi za nchi nzima sio rahisi. labd auamue kchukua jamii flani ya watu wnye ulewa, so ccm hapa walijua walichapanga kuanya ili kuweka huo usindi wanaouita wa kishindo. its a great shame to or leaders
 
Back
Top Bottom