kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
wewe inaonekana ni mke wa HakimInaonesha wewe si mpenzi wa mpira wewe ulizamia tu
wewe inaonekana ni mke wa HakimInaonesha wewe si mpenzi wa mpira wewe ulizamia tu
AmiinTuombe uzima tu
Aguero hatachezaChelsea 1-4 Manchester city
Players to score;
Riyad Mahrez
Sergio Agüero
Kevin De Bruyne
Bernardo Silva
Olivier Giroud
Crystal Palace waliifunga Chelsea 4-1Mara ya mwisho chelsea kushinda kwa kuanzia goli tatu nafikiri ni kipindi cha Lampard (sina kumbukumbu nzuri hapa) siku hizi ushindi wao mkubwa ni magoli mawili. Ila wao kufungwa ni mpaka goli tano.
Mostly kwakua wanakaba sana kuliko kushambulia na namna yao ya kushambulia ni kufosi kupita pasipopitika hii inasababisha off sides na freekicks za kumwaga.
City naye kwa Newcastle ushindi ulikua wa maswali. Kwa Brighton kafa (red siyo kisingizio). Brighton mpira wao kama chelsea. Na city kucheza strikerless siyo kama anapenda ila Jesus na Kun hawafanyi delivery inayotakiwa hivyo jukumu la kuscore ni la Mahrez.
Naona chelsea ikicheza 3 4 1 2 na 1 akawa Mount halafu 2 akawa Werner na Pulisic au Giroud anashinda kwa urahisi.
Ikicheza 3 4 2 1 na hiyo 1 ndiyo akawa Werner chelsea itafungwa kwakua italazimika itumie nguvu kubwa kutafuta goli na wakifanya hivyo wanampa space Sterling au Mahrez kubenefit na speed.
Kwangu mimi matokeo ya mechi yataamuliwa zaidi na formation ya chelsea.
Hapa sijaelewa kwakua nimesema ushindi wa Chelsea ni magoli 2 ila wamefungwa mpaka goli 5. Na umesema Palace waliifunga Chelsea 4 so nipo sahihi?Crystal Palace waliifunga Chelsea 4-1
Mwenzako nalia huku, nimeweka rehani nyumba, mke, watoto na shamba na vyote vilivyomo, Hadi kuku, Bata na njiwa🕊️Game itapigwa siku ya jumamosi tarehe 29/05/2021 ndani ya dimba la Estadio Do Dragao ndani ya nchi Ureno.
Tupia utabiri wako hapa.
Utabiri wangu.
Chelsea 0 vs Man City 3
Either Players to Score.
1. Riyad Mahrez
2. Reuben Diaz
Hapo vipi?
Dah!!! Kwahiyo wanaenda wote kwa mwakachukua wa Tukuyu mkuuMwenzako nalia huku, nimeweka rehani nyumba, mke, watoto na shamba na vyote vilivyomo, Hadi kuku, Bata na njiwa🕊️
🤗🤗Fainali isiyo na ladha, Chelsea anaenda kuvunja rekodi ya Simba kwa kaizer chiefs anadhalilishwa 5-0
Ndivyo ulivyotaka kusikia weweHapa sijaelewa kwakua nimesema ushindi wa Chelsea ni magoli 2 ila wamefungwa mpaka goli 5. Na umesema Palace waliifunga Chelsea 4 so nipo sahihi?
Vipi vimepona hivyo vitu?Mwenzako nalia huku, nimeweka rehani nyumba, mke, watoto na shamba na vyote vilivyomo, Hadi kuku, Bata na njiwa🕊️
Utabiri umekua mchungu naona! Vipi lakini mkuu unaendeleaje huko?Game itapigwa siku ya jumamosi tarehe 29/05/2021 ndani ya dimba la Estadio Do Dragao ndani ya nchi Ureno.
Tupia utabiri wako hapa.
Utabiri wangu.
Chelsea 0 vs Man City 3
Either Players to Score.
1. Riyad Mahrez
2. Reuben Diaz
Hapo vipi?
Aisee!KDB goal
Mahrez goal
Man city 2- 0 Chelsea
City de champion
Bado tu huwaoni?Siwaoni Chelsea wakiwazuia vijana wa Kipara.
Pole sana kwa maumivu unayo yapitia Mkuu.Chelsea ya wavaa blauzi mna jua kuishi kwa hisia kweli
Hata leister mlisema mnampiga tunaona mmepigwa
City 1 blues 0
Duh we nomaChelsea 1-0 Man city
Mkuu agiza chochote kwa bili yanguChelsea 1-0 Man city