impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,606
Kwa haya yaliyo mkuta TL na harakati zake zinazoendelea bila uoga naona Lisu akiwa mtu mahiri afrika na tuzo zitamiminika maana ndie Mzalendo mwafrika wa Tanganyika yupo tayali kufa kwa ajiri ya wa Tanzania.
Lisu asipuuzwe Serikali ikae nae mezani ana hoja nzito za kusaidia taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lisu asipuuzwe Serikali ikae nae mezani ana hoja nzito za kusaidia taifa letu.
Sent using Jamii Forums mobile app