mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Kwa matamko na kauli zinazoendelea kutoka ACT Wazalendo na ukilinganisha na tabia ya kiburi ya CCM naona kabisa ndani ya siku sitini kila moja atabeba chake huko Unguja.
ACT Wazalendo wakikaa kikao kwa vyovyote vile watamtaka Mwinyi ajieleze na kwa uCCM ulivyo, wakina Mwinyi watawabeza ndipo hapo Othman Masoud atajitoa kwenye hiyo Serikali na ACT Wazalendo kufuatia huko nyuma.
Hapo hali ya usalama itawashinda CCM kabisa.
ACT Wazalendo wakikaa kikao kwa vyovyote vile watamtaka Mwinyi ajieleze na kwa uCCM ulivyo, wakina Mwinyi watawabeza ndipo hapo Othman Masoud atajitoa kwenye hiyo Serikali na ACT Wazalendo kufuatia huko nyuma.
Hapo hali ya usalama itawashinda CCM kabisa.