Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Ahsante ,niendelee kutoa wito kwa mods waombe idhini za waandishi wa hivi vitabu , waridhie maandiko yao kusomwa hadharani hapa jamii forum kwa Faida ya umma kujifunza walichokiandika.
Binafsi nitakitafuta kwa sababu umeniongezea njia ya kujifunza historia ya Zanzibar
Ghassani kasha weka ruhusa
kwa masharti yafuatayo:

Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
Harith Ghassany
info@kwaherikwaheri.com
SOMA HAPA KWANZA
Usambazaji wa kitabu hichi kwa mfumo wa Free Electronic Downloading unafanyika chini ya mkataba wa Creative Commons Attribution-NonCommercial-ShareAlike 3.0 ambao uko chini ya Sharia za nchi ya Marekani.

Kwa mujibu wa Mkataba na Sharia hii, mtu anayekichukuwa kitabu hichi kupitia mfumo huu ana uhuru pia wa kukigawa, kukirudufu na kukisambaza chini ya masharti yafuatayo:

Kulitaja jina la mwandishi wa kitabu kwa njia isiyohalalisha matumizi • binafsi ya kitabu
Kutokitumia kwa makusudi ya kibiashara wakati kinauzwa katika mfumo • wa kitabu
Kutokubadilisha, kugeuza, au kuongeza chochote kwenye kitabu hichi•
Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea: Creative Commons — Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States — CC BY-NC-ND 3.0 US
Kitabu hichi kinatolewa bure katika mfumo huu ili msomaji anufaike na baadaye naye akipendekeze kwa mwenzake ili hatimaye ujumbe wa kusimamisha amani uliomo kitabuni uwafikie walio wengi.
Hata hivyo, mwandishi wa kitabu hiki anafahamu kwamba raha hasa ya kitabu ni kuwamo mikononi mwa msomaji, maana kitabu ni miongoni mwa vitu adhimu na vikongwe kabisa katika urathi wa mwanaadamu.
Kwa hivyo, licha ya kutolewa fursa hii ya mfumo wa kukisoma bure kitabu hichi kupitia kwenye mtandao, ni matarajio ya mwandishi kuwa wako watakaopendelea wawe nacho mikononi na kukisoma kwa nafasi zao.
Kwa vile walengwa wa mfumo huu wa Free Electronic Downloading ni Wazanzibari na Watanganyika wa kawaida, basi ipo haja kwa wale wenye uwezo, wakiwa ndani ama nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa mchango wa kuvinunua vitabu ama kupitia mtandao wa kitabu, http://kwaherikwaheri.com, au moja kwa moja kutoka Lulu na kuwafikishia walimu na wanafunzi walioko kwenye skuli na vyuo vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Skuli, vyuo, maktaba, taasisi na watu binafsi wanaweza kumuandikia moja kwa moja mwandishi kupitia mtandao wa kitabu http://kwaherikwaheri.com ikiwa watahitaji kupata msaada wa wafadhili watakaojitokeza kusaidia. Wafadhili ambao hawatopenda majina yao kujulikana, wamuarifu mwandishi. Majina yao yatahifadhiwa na mwandishi anatanguliza shukrani za dhati kwa ukarimu wao.
Mwandishi pia anatanguliza ombi na shukrani maalum kwa watakaoweza kusaidia kuviwezesha vituo vya mitandao vilivyopo Tanzania Zanzibar na Tanzania Bara kutoa muda maalum wa huduma za mtandao kwa bei nafuu kwa ajili ya wale watakaopenda kukisoma, kukichukua na ama kukihifadhi kitabu hiki kwenye vyombo vyao.
Kuanzia hivi sasa, Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! kimo machoni mwako. Fungua kurasa zake, zama na zamia kwenye bahari yake na ibuka na lulu zilizomo ndani yake.
Mnakaribishwa nyote—walio karibu na walioko mbali.

http://kwaherikwaheri.com
 
Umeandikaa stori refu Sana..Cha muhimu ambacho hujakiandika ni kuwa Tanzania ni Muungano wa nchi mbili..Tangayika na Zanzibar

Katika huu Muungano nchi ya Tanganyika imejificha kwenye mgongo wa Tanzania,yaani ni sawa na kusema kuwa serikali ya Muungano Ni serikali ya Tanganyika...

FIFA,Mikopo,Misaada ya nje yote yanafikia kwenye Serikali ya Muungano ambayo ni serikali ya Tanganyika..

Kwa maana hiyo Zanzibar lazima iombe gawio la Msaada au mikopo ya wafadhili kutoka katika serikali ya Muungano aka serikali ya Tanganyika..

Tangayika inaraidika zaidi kwenye huu Muungano zaidi ya Zanzibar, Zanzibar ni nchi ndio watu wake Ni kidogo,Msaada mdogo tu unaweza kuibadilisha Zanzibar pakubwa Sana

Zanzibar haihitaji.Mungano, Tangayika ndio inayouhitaji.huu Muungano,period
Nimesoma hoja zako na nitakujibu hivi.

Ni mtafiti gani ambaye amefanya tafiti na akaja na majibu kuwa Zanzibar hawafaidiki na Muungano?

Kinyume chake Ni mtafiti yupi amewahi kuja na andiko kuwa Tanganyika inanufaika zaidi kuliko Zanzibar.

Sina hakika Ila nasikia Bakhresa Ana nasaba na Uzanzibari. Tufanye wewe ndio bwana Bakhresa na unatokea Zanzibar na Huku Bara Asimame Mo Dewji sababu kwao singida.

Tufanye utafiti wa manufaa ya biashara na uwekezaji Kama kigezo Cha kunufaika na Muungano.

Kwa jicho la hisia Kama ulivyoandika na kusema bara wanafaidi ukiwatizama Bakhresa na Mo Nani kanufaika na fursa ya biashara zaidi ya mwenzake?

Jibu jepesi tu ukileta ubaguzi wa aina yeyote Bakhresa atapoteza pakubwa kuliko Mo. Na kamwe Mzanzibar mwenye maono mapana anaitumia fursa ya idadi kubwa ya watu wa Tanzania bara kufaidi fursa ya Muungano.

Kigezo Cha pili Cha utafiti kiwe kumiliki ardhi.

Je , Ni watNganyika wangapi Leo wakija Zanzibar Wana uwezo wa kununua na kumiliki ardhi huko visiwani,

Je, Ni wazanzibar wangapi wanaweza kuja bara leo hii na kumiliki ardhi .

Ukifanya survey ya hisia Kama yako jibu lipo wazi kwamba sisi hatunufaiki na ardhi ya Zanzibar, kinyume chake wazanzibar wanamiliki mpaka mashamba makubwa Sana na nyumba wamejenga hukuhuku. Eg kigamboni.


Sio vizuri kulaumu ingia ndani fanya tafiti,halafu utoke kifua mbele vinginevyo hizo Ni hisia na tutaheshimu hisia zako kwa sababu ya Uhuru wa kutoa maoni . So hoja ya sisi kunufaika Ni dhaifu na inafia hapa.

TFF & MISAADA

Naanzia mbali kiduchu, Siku tulipoungana ndio siku Zanzibar alipoteza kiti chake UN.

Athari ya kupoteza kiti inaonekana FIFA . Ili uwe mwanachama wa FIFA lazima uwe na kiti UN . Huu ndio msumari wa kwanza kwenu, ili utambuliwe CAF nao Ni lazima Uwe na Kiti AU.

Ninyi hamna sifa hiyo,mwenye nayo Ni Tanzania. Anayetambuliwa FIFA &CAF Ni TFF .

Zanzibar mliamua kujitegemea michezo, Sasa mnataka fedha za TFF za Nini?
Jibu Ni moja tu, rudisheni michezo kwenye Mambo ya Muungano. Kero za michezo zitaisha.Kisha vunjeni ZFF na rasmi TFF ipewe mamlaka ya bara na visiwani. Kabla ya hili iandikwe Memorandum ya mgawanyo wa Mali hisa zenu Kama BOT. Immediately mtapata misaada ya michezo bila kelele na malalamiko.

Misaada duniani hakuna, Kila mtu anapambana na Hali yake, Sasa hivi Kuna mikopo ya unafuu unakuja kwa mgongo wa misaada unapewa pesa unatoa fursa za kibiashara kwa waliokupa pesa.

Nimetafiti misaada ya bure nikagundua michache Haina masharti magumu Kama ya ushoga lakini kiasi chake Ni kidogo Sana haizidi 5B

Pesa hizi hata Bakhresa anaweza kuwapa bure na asiwadai.

Mwisho niseme hata sisi Tanganyika tuna madai yetu, ndio maana kwenye mapato tumeamua Kila akale alipopeleka mboga.
 
Ghassani kasha weka ruhusa
kwa masharti yafuatayo:

Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
Harith Ghassany
info@kwaherikwaheri.com
SOMA HAPA KWANZA
Usambazaji wa kitabu hichi kwa mfumo wa Free Electronic Downloading unafanyika chini ya mkataba wa Creative Commons Attribution-NonCommercial-ShareAlike 3.0 ambao uko chini ya Sharia za nchi ya Marekani.

Kwa mujibu wa Mkataba na Sharia hii, mtu anayekichukuwa kitabu hichi kupitia mfumo huu ana uhuru pia wa kukigawa, kukirudufu na kukisambaza chini ya masharti yafuatayo:

Kulitaja jina la mwandishi wa kitabu kwa njia isiyohalalisha matumizi • binafsi ya kitabu
Kutokitumia kwa makusudi ya kibiashara wakati kinauzwa katika mfumo • wa kitabu
Kutokubadilisha, kugeuza, au kuongeza chochote kwenye kitabu hichi•
Kwa maelezo zaidi, tafadhali tembelea: Creative Commons — Attribution-NonCommercial-NoDerivs 3.0 United States — CC BY-NC-ND 3.0 US
Kitabu hichi kinatolewa bure katika mfumo huu ili msomaji anufaike na baadaye naye akipendekeze kwa mwenzake ili hatimaye ujumbe wa kusimamisha amani uliomo kitabuni uwafikie walio wengi.
Hata hivyo, mwandishi wa kitabu hiki anafahamu kwamba raha hasa ya kitabu ni kuwamo mikononi mwa msomaji, maana kitabu ni miongoni mwa vitu adhimu na vikongwe kabisa katika urathi wa mwanaadamu.
Kwa hivyo, licha ya kutolewa fursa hii ya mfumo wa kukisoma bure kitabu hichi kupitia kwenye mtandao, ni matarajio ya mwandishi kuwa wako watakaopendelea wawe nacho mikononi na kukisoma kwa nafasi zao.
Kwa vile walengwa wa mfumo huu wa Free Electronic Downloading ni Wazanzibari na Watanganyika wa kawaida, basi ipo haja kwa wale wenye uwezo, wakiwa ndani ama nje ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kutoa mchango wa kuvinunua vitabu ama kupitia mtandao wa kitabu, http://kwaherikwaheri.com, au moja kwa moja kutoka Lulu na kuwafikishia walimu na wanafunzi walioko kwenye skuli na vyuo vya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Skuli, vyuo, maktaba, taasisi na watu binafsi wanaweza kumuandikia moja kwa moja mwandishi kupitia mtandao wa kitabu http://kwaherikwaheri.com ikiwa watahitaji kupata msaada wa wafadhili watakaojitokeza kusaidia. Wafadhili ambao hawatopenda majina yao kujulikana, wamuarifu mwandishi. Majina yao yatahifadhiwa na mwandishi anatanguliza shukrani za dhati kwa ukarimu wao.
Mwandishi pia anatanguliza ombi na shukrani maalum kwa watakaoweza kusaidia kuviwezesha vituo vya mitandao vilivyopo Tanzania Zanzibar na Tanzania Bara kutoa muda maalum wa huduma za mtandao kwa bei nafuu kwa ajili ya wale watakaopenda kukisoma, kukichukua na ama kukihifadhi kitabu hiki kwenye vyombo vyao.
Kuanzia hivi sasa, Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru! kimo machoni mwako. Fungua kurasa zake, zama na zamia kwenye bahari yake na ibuka na lulu zilizomo ndani yake.
Mnakaribishwa nyote—walio karibu na walioko mbali.

http://kwaherikwaheri.com
Itabidi lianzishwe jukwaa maalum kwa ajili historia ya Zanzibar na Tanganyika.
Kisha humo yawekwe madini adhimu Kama haya .
Nakuhaidi nitadownload n akukisoma nipate madini adhimu ya Zanzibar
 
Itabidi lianzishwe jukwaa maalum kwa ajili historia ya Zanzibar na Tanganyika.
Kisha humo yawekwe madini adhimu Kama haya .
Nakuhaidi nitadownload n akukisoma nipate madini adhimu ya Zanzibar
Sasa tuendelee na Chaguo la Raisi kwa wazanzibari.
Raisi tumtakae awe hivi.:
1.Mzalendo wa kuipenda, kuitetea na kuilinda Dola ya Zanzibar na Maslahi yake ndani ya Muungano.

2.Asiwe Mbaguzi wala mtesaji wa watu wasiokuwa na hatia.

3.Asimamie ajenda ya Mamlaka kamili na Muungano wenye usawa kwa Pande zote.

4.Adumishe udugu wetuwa damu na Oman,Tanganyika, China, India,Yemen, Somalia,Indonesia na Commoro ambazo zote nchi hizo zina muingiliano mkubwa na Zanzibar tangu Zama na Zama

5. Atuahidi kutupatia katiba mpya itakayoharamisha ubaguzi wa aina yoyote na kuwa kosa la jinai kwa mwenye kuusema,kuutangaza au kuutetea ubaguzi wa kijinsia,kikabila,kirangi na kimadhehebu.

6.Alete mtengamano wa kitaifa(Commission of truth and reconciliation) utakao ruhusu kila mwenye makovu ya uovu aliofanyiwa na chombo chochote kiwe cha dola au mtu binafsi tokea Mapinduzi hadi leo aje hadharani mbele ya tume aueleze na kuridhiana ,kusameheana au kupeleka kesi yake mahakamani.

7. Atuahidi Tume huru ya uchaguzi , mahakama huru, na Uhuru wa kujieleza bila ya vikwazo kwa kila raia na kulindwa haki za kila raia wa Zanzibar na hakizake zipewe kipaumbele dhidi ya raia wa nchi yoyote duniani. Kama ilivyo nchi za wenzetu Arabuni, au India, au Uk.

NB;Ifahamike kuwa

Mgombea Uraisi yoyote yule awe wa chama chochote kile akituahidi kutuchimbia mafuta, Gesi, na Kujenga viwanda vya samaki bila ya kubadili Mfumo wa siasa(Muundo wa Muungano) huyo anatudanganya, kama walivyotudanganya watanguklizi wake.

Nashauri Tusimuunge mkono Ngo,heri tubaki bila kupiga kura ikiwa wote watakuwa na muelekeo huo wa kutudanganya.

HII NDIO ZANZIBAR TUITAKAYO KWA RAISI AJAYE LAZIMA AJIPANGE HIVYO.
 
Sasa tuendelee na Chaguo la Raisi kwa wazanzibari.
Raisi tumtakae awe hivi.:
1.Mzalendo wa kuipenda, kuitetea na kuilinda Dola ya Zanzibar na Maslahi yake ndani ya Muungano.

2.Asiwe Mbaguzi wala mtesaji wa watu wasiokuwa na hatia.

3.Asimamie ajenda ya Mamlaka kamili na Muungano wenye usawa kwa Pande zote.

4.Adumishe udugu wetuwa damu na Oman,Tanganyika, China, India,Yemen, Somalia,Indonesia na Commoro ambazo zote nchi hizo zina muingiliano mkubwa na Zanzibar tangu Zama na Zama

5. Atuahidi kutupatia katiba mpya itakayoharamisha ubaguzi wa aina yoyote na kuwa kosa la jinai kwa mwenye kuusema,kuutangaza au kuutetea ubaguzi wa kijinsia,kikabila,kirangi na kimadhehebu.

6.Alete mtengamano wa kitaifa(Commission of truth and reconciliation) utakao ruhusu kila mwenye makovu ya uovu aliofanyiwa na chombo chochote kiwe cha dola au mtu binafsi tokea Mapinduzi hadi leo aje hadharani mbele ya tume aueleze na kuridhiana ,kusameheana au kupeleka kesi yake mahakamani.

7. Atuahidi Tume huru ya uchaguzi , mahakama huru, na Uhuru wa kujieleza bila ya vikwazo kwa kila raia na kulindwa haki za kila raia wa Zanzibar na hakizake zipewe kipaumbele dhidi ya raia wa nchi yoyote duniani. Kama ilivyo nchi za wenzetu Arabuni, au India, au Uk.

NB;Ifahamike kuwa

Mgombea Uraisi yoyote yule awe wa chama chochote kile akituahidi kutuchimbia mafuta, Gesi, na Kujenga viwanda vya samaki bila ya kubadili Mfumo wa siasa(Muundo wa Muungano) huyo anatudanganya, kama walivyotudanganya watanguklizi wake.

Nashauri Tusimuunge mkono Ngo,heri tubaki bila kupiga kura ikiwa wote watakuwa na muelekeo huo wa kutudanganya.

HII NDIO ZANZIBAR TUITAKAYO KWA RAISI AJAYE LAZIMA AJIPANGE HIVYO.
Nimefurahi kuona ukiitathimini Zanzibar muitakayo. Mijadala mipana Kama hii huwa Haina wawakilishi wazuri kwenye vyama vya siasa.

Kwa sababu wengi waliopo au wanaoshiriki siasa hawana maono mapana Kama yako. Thamani yenu sio vitu au ahadi zisizotekelezeka thamani yenu tunu za utu wenu.

Kwa sababu Mimi na wewe hatupo kwenye ulingo wa siasa tuingie rasmi kutafuta nafasi za uwakilishi,ubunge na usheha.
Wewe una kitu kikubwa Sana ambacho wanasiasa wa Zanzibar wanakikosa. Kwanza mstahamilivu mwenye kusikia ya wenzako na pia unajibu hoja na sio personality. Angelikuwa mtu mwingine angelinishambulia Mimi binafsi na sio hoja.
Nimefurahi umeshiriki kuichagiza ndoto yangu na Sasa unanifanya nijiulize hata hao niliowaota kwenye ndoto wanazo fikra zenye mazuri Kama yako?

Wanasiasa wa bara na visiwani wanasukumwa kushiriki siasa kwa manufaa ya kibiashara, umaarufu wa pesa, historia ya familia, na aghalabu mapenzi ya kuleta maendeleo Kama ulivyoona wewe. Wenye maono Kama wewe wanapigwa fitna , wanahasadiwa na kufukuzwa kwenye vyama vya siasa.

Ngoja kesho ifike tuone Nani atakuwa wa kwanza kuichukua fomu pale kisiwa ndui. Kisha tumsikie sababu za yeye kuomba apeee bendera ya CCM Kama Mgombea.

Nayachukua maoni yako Kama Azimio namba moja kwenye ndoto yangu. Kisha nitaanza kuoanisha mawazo yako na hao wanasiasa wanaochukua fomu tukiona hawana uelekeo tutaandika mada ya kuwafungua mawazo wananchi ili wajue kuwa tatizo sio mtu Bali hakuna mwenye ndoto za kuyatatua matatizo ya Zanzibar kwa angle ulizotizama wewe.
Wakati Ni Mwalimu mzuri na tiketi na popcorn na juisi huku tukiwatizama watia Nia na sisi kazi yetu Ni kuwachambua kwa kina mmoja mmoja
 
Niliwahi kumsikia Juma Duni Haji akizungumza maslahi ya Zanzibar kwenye uwekezaji wa BOT.
Akisema Zanzibar wanamiliki hisa 11 na 89 Tanganyika.

Haya twende kwenye factor za uwekezaji. Gawiwo linatolewa baada ya mapato na matumizi.

Kama Ni kweli hebu jiulize Ni miradi mingapi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania serikali iliwahi kupata gawiwo lake kwa wakati kwa kipindi chote Cha miaka Hamsini na ushehee ya Muungano wetu.

Pili kwenye uwekezaji Kuna kugawana hasara na madeni yanayitokana gharama za uendeshaji. Je Ni Mara ngapi Serikali JMT iliwahi kupata hasara ya uwekezaji.

Je ,tukifanya tathimini ya ufilisi wa Amana na uwekezaji pale BOT bado Zanzibar wanamiliki 11?

Tatu ,michango na Gharama za uendeshaji wa serikali ya JMT Zanzibar anachangiaje? Bado anamudu kulipia gharama za ULINZI, kwa maana ya majeshi ya JWTZ na vikosi vyake?
Jeshi la polisi,Usalama wa Taifa.
Nakutolea mfano huu ili ujifunze kutokuwa na ushabiki Bali uwe unajenga hoja kwa misingi mbali mbali.

Ukija ukapewa hesabu za mapato na matumizi na hasara tuliyoipata, then maamuzi ya ufilisi yakafanywa na RITA na yumkini baada ya evaluation mkaambiwa kwa Hali Leo uwekezaji wa ZanIbar BOT sio wa 11% utafanyaje? Au ukiambiwa hamna kabisa utafanyaje?

Sioni dalili za kuongezeka kwa uwekezaji wa Zanzibar BOT kwa trend ya uchumi wetu baada ya anguko kubwa lililotokana na Vita ya KAGERA.

Saada mkuya anajua thamani ya uwekezaji wenu BOT lakini hakuwahi kusema kwa majivuni hivi nadhani alijua ukweli wa Mambo.

Nikusaidie tu pale BOT TRA wanashea akaunti ya Mapato kwa misingi wa UTAKULA ULIPOPELEKA MBOGA.

Fuatilia vizuri

*Ukinunua vocha bara ukaongea kiduchu bara Kisha ukaimalizia Zanzibar.
Mgawanyo Kodi ya Ile vocha utategemea dk ulizotumia bara na visiwani.

*Ukichanja kadi ya ATM bara Kodi Ni bara, ukichanja Zenji inabaki huko.

*Ukinunua Gari Zanzibar sajili na ulitumie hukohuko na ukinunua bara litumie hukuhuku kinyume chake uwe permitty ya muda yenye kuineaha kuwa utarudi upande mwingine baada ya muda other wise sajili upya.
Ndio maana Zenji kumiliki ndiga Ni rahisi kuliko bara.

*Diamond kafungua TV Zanzibar, bara kafungua kituo Cha kuzalisha vipindi.hapa Kuna KAMPUNI mbili tofauti.moja inamiliki Tv na nyingine inamiliki uzalishaji na watangazaji .

Haya ndio masharti ya TCRA na ZCRA
Fee ya leseni analipa Zenji, Kodi ya Mapato anakupa bara, jiulize kwa Nini hv.
Jibu Ni UTAKULA ULIPOPELEKA MBOGA.


Shanti , kuna suala la ulinzi ambalo Juma Duni aliwahi kulizungumzia.

Zanzibar haina mpaka na Uganda, Congo , Zambia, Malawi, Rwanda , Burundi.

Jeshi la kazi gani zaidi ya kuitia gharama Zanzibar tu???

Matatizo ya mpaka ni ya Tanganyika si ya Zanzibar.

Ulinzi wa Zanzibar unatosha kufanywa na KMKM , Polisi, na Mgambo. Hayo majeshi ni kuwaulisha vijana wetu , kwa ugomvi usiowahusu huko Tanganyika na kuitia nchi umasikini.

Ni wakati wa Zanzibar kuwa na mamlaka yake na kuondokana na hali hii kama nchi nyingi za visiwa zilivyo
 
Hizo ndio dharau zisizo saidiakatika taifa hili. Wengi kati yenu hamujijui wala hamujitambui.na hii inakuja sababu akili ndogo. Hivo nyinyi hamuna historia ya taifa lenu?. Sisi wazanzibari asilia tunajijua na tunajitambua. Huu UKOLONI wenu umekwisha sasa hivi. Bila ya vyombo vya usalama, sisi tulikwisha waambia zamani kuwa ukoloni tumeukataa. Haiwezekani kutawaliwa na mwafrika mwenzetu na kejeli juu.
 
Nimesoma hoja zako na nitakujibu hivi.

Ni mtafiti gani ambaye amefanya tafiti na akaja na majibu kuwa Zanzibar hawafaidiki na Muungano?

Kinyume chake Ni mtafiti yupi amewahi kuja na andiko kuwa Tanganyika inanufaika zaidi kuliko Zanzibar.

Sina hakika Ila nasikia Bakhresa Ana nasaba na Uzanzibari. Tufanye wewe ndio bwana Bakhresa na unatokea Zanzibar na Huku Bara Asimame Mo Dewji sababu kwao singida.

Tufanye utafiti wa manufaa ya biashara na uwekezaji Kama kigezo Cha kunufaika na Muungano.

Kwa jicho la hisia Kama ulivyoandika na kusema bara wanafaidi ukiwatizama Bakhresa na Mo Nani kanufaika na fursa ya biashara zaidi ya mwenzake?

Jibu jepesi tu ukileta ubaguzi wa aina yeyote Bakhresa atapoteza pakubwa kuliko Mo. Na kamwe Mzanzibar mwenye maono mapana anaitumia fursa ya idadi kubwa ya watu wa Tanzania bara kufaidi fursa ya Muungano.

Kigezo Cha pili Cha utafiti kiwe kumiliki ardhi.

Je , Ni watNganyika wangapi Leo wakija Zanzibar Wana uwezo wa kununua na kumiliki ardhi huko visiwani,

Je, Ni wazanzibar wangapi wanaweza kuja bara leo hii na kumiliki ardhi .

Ukifanya survey ya hisia Kama yako jibu lipo wazi kwamba sisi hatunufaiki na ardhi ya Zanzibar, kinyume chake wazanzibar wanamiliki mpaka mashamba makubwa Sana na nyumba wamejenga hukuhuku. Eg kigamboni.


Sio vizuri kulaumu ingia ndani fanya tafiti,halafu utoke kifua mbele vinginevyo hizo Ni hisia na tutaheshimu hisia zako kwa sababu ya Uhuru wa kutoa maoni . So hoja ya sisi kunufaika Ni dhaifu na inafia hapa.

TFF & MISAADA

Naanzia mbali kiduchu, Siku tulipoungana ndio siku Zanzibar alipoteza kiti chake UN.

Athari ya kupoteza kiti inaonekana FIFA . Ili uwe mwanachama wa FIFA lazima uwe na kiti UN . Huu ndio msumari wa kwanza kwenu, ili utambuliwe CAF nao Ni lazima Uwe na Kiti AU.

Ninyi hamna sifa hiyo,mwenye nayo Ni Tanzania. Anayetambuliwa FIFA &CAF Ni TFF .

Zanzibar mliamua kujitegemea michezo, Sasa mnataka fedha za TFF za Nini?
Jibu Ni moja tu, rudisheni michezo kwenye Mambo ya Muungano. Kero za michezo zitaisha.Kisha vunjeni ZFF na rasmi TFF ipewe mamlaka ya bara na visiwani. Kabla ya hili iandikwe Memorandum ya mgawanyo wa Mali hisa zenu Kama BOT. Immediately mtapata misaada ya michezo bila kelele na malalamiko.

Misaada duniani hakuna, Kila mtu anapambana na Hali yake, Sasa hivi Kuna mikopo ya unafuu unakuja kwa mgongo wa misaada unapewa pesa unatoa fursa za kibiashara kwa waliokupa pesa.

Nimetafiti misaada ya bure nikagundua michache Haina masharti magumu Kama ya ushoga lakini kiasi chake Ni kidogo Sana haizidi 5B

Pesa hizi hata Bakhresa anaweza kuwapa bure na asiwadai.

Mwisho niseme hata sisi Tanganyika tuna madai yetu, ndio maana kwenye mapato tumeamua Kila akale alipopeleka mboga.
wacha porojo mzee peleka porojo hizo kanisani hivi hong kong ni nchi?? au Palestine? wacha ubaraa mzee
 
wacha porojo mzee peleka porojo hizo kanisani hivi hong kong ni nchi?? au Palestine? wacha ubaraa mzee
Huyu anaongelea nini?
Au karukia gari kwa mbele?
Usiifananishe zanzibar na Palestina au Hon kong.
Hii ni jamuhuri ya muungano wa hiari.
Nyerere atakutosheleza kiu yako wewe.
 

Attachments

  • NYERERE ANAJUA KUWA TANZANIA IMEUNDWA NA NCHI 2 HURU .mp4
    15.5 MB
Update:

Dr.Mabodi ameonekana kupitia habari ya saa mbili usiku leo akitangaza kuwa zoezi kuichukua fomu ya Urais Zanzibar limefunguliwa na mkutano wenye kuamua mgombea utafanyika dodoma.
Hii Ni kwa sababu mgombea wa CCM anateuliwa na Halmashauri kuu ya Chama ambayo inakutana makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi pale dodoma.
Modes mnisaidie kuedit mbugi imeanza rasmi na tuone ndoto ikitimia au ikipotea
 
Update:

Dr.Mabodi ameonekana kupitia habari ya saa mbili usiku leo akitangaza kuwa zoezi kuichukua fomu ya Urais Zanzibar limefunguliwa na mkutano wenye kuamua mgombea utafanyika dodoma.
Hii Ni kwa sababu mgombea wa CCM anateuliwa na Halmashauri kuu ya Chama ambayo inakutana makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi pale dodoma.
Modes mnisaidie kuedit mbugi imeanza rasmi na tuone ndoto ikitimia au ikipotea
UPNDE WA APINZANI JEE HUJASIKIA FUNUNU?
MAANA SISI WENGINE HUWAGA HATUKO KARIBU NA SIASA ZA MITAANI, WLA KWENYE MAGAZETI.
 
Kwa utabiri humu JF ni noma,Pascal Mayalla aliwahi kutabiri miaka hio rais ajae yawezekana akawa Magu kipindi hicho hata CCM bado mchakato wa kuchukua form za urais haujaanza na ikawa hivyo,kuna njemba inaitwa Magamba matatu huko 2012 iliwahi kutabiri style ya uongozi utakavyokua wa awamu ya 5 na imekua 99% kama mjomba alivyotabiri,kuna uzi humu watu walikua wanabishana balaa kwamba nani atakua ni mkuu wa majeshi baada ya Mwamunyange njemba 1 ikakomaa humu lazima awe Mabeyo tu na ikawa hivyo.

So JF ni kichaka kikubwa,unaweza kuta aliyeleta huu uzi ni kigogo huko Nec na walishafanya maamuzi yao wanatupima tu reaction wana Nzengo.
Km ambavyo TUNDU LISSSU alivyotabiri udikteta na umekua
 
Mkuu kwa Zanzibar bado sana hawako tayari kutawaliwa na mwanamke,bado wanamfumo dume,ila kwa rais huenda akawa mwinyi au shamte vuai hawa wawili sana asilimia ,80% ya kuukwaa urais wa zanzibar

Sent using Jamii Forums mobile app

Nalandana nawe hiyo hoja yako itamsumbua sana Samia wakati wa kugombea na hata CCM watapata tabu kumnadi ila mleta mada ametabiri vizuri.
 
Pazia la kuichukua fomu za kugombea Urais Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi huenda likafunguliwa Rasmi muda wowote kuanzia mwezi Juni 2020.

Sina hakika na ndoto yangu, Ila haya ndio niliyoyaona ndotoni.

Nawaona wanaume wawili wakichuana vikali sana, kiasi kwamba wanarandama kwa sifa na haiba inayorandana Kila pahala. Wasomi Hawa wawili wa kiwango cha juu wanazidiana sifa moja tu.
Mmoja ameishi na kukulia Zanzibar na mwingine ameishi na kukulia Dar es Salaam.

Wanaume hao Ni Profesa Makame Mbarawa Mnyaa na Dkt. Hussein Mwinyi.

Naona ukungu mzito watu wengi wanabishana hapana huyu hajakulia na kuishi huku iweje tumkabidhi jukumu zito hivi wakati ana kila nasaba na watu wa bara. Safari hii hatukubali lazima tufanye tutakavyo sisi na sio wao.

Naiona busara kubwa ikitumika kumaliza mgogoro huu kwa turufu ya jinsia. Unazuka mjadala kama ndio hivyo basi wakose wote na akae mwanamke ili kuondoa dhana ya upendeleo na visa vya nani ni nani.

Namuona mwanamke mwenye sauti ya mamlaka na akitokea kwenye kiti chenye maamuzi mazito akikubali kubeba gharama za kuinusuru chama na mpasuko. Namfananisha na Samia Suluhu Hassan. Nyota yake Ni Kali sana na ndiye anayewatuliza wanaume hawa wawili kwa kuvaa kiatu cha kuwa mgombea Urais kwa tiketi ya CCM huko visiwani Zanzibar.

Ndoto yangu haiishii hapa, namuona Mwenyekiti na kamati yake wanajifungia kwa muda na hawa wanaume wawili Kisha wanakubaliana kitu.

Siku chache baadaye nawaona wanaume hawa wanaongozana hadi Dodoma.

Namuona Mwenyekiti wa wa CCM anapitishwa na wajumbe wa mkutano mkuu kuwa ndiye mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Nawaona wajumbe wa CCM wanaenda chemba kunong'onezana na kisha Mwenyekiti wa muda anamtangaza Dr. Hussein Mwinyi kubeba bendera ya Chama kama Mgombea mwenza wa Magufuli.

Ndoto inaendelea nawaona wajumbe wakimtaja Profesa kama Makamu Rais wa Zanzibar.

Nawaona wakitoka na nyuso za furaha Kila mmoja.

Usingizi unakatika nashtuka najiuliza ni kweli au ni mawaa ya ndoto.

Ngoja tusubiri media confirmation, mimi nishamaliza ndoto yangu.


Updates :

Dr.Mabodi ameonekana kupitia habari ya saa mbili usiku leo akitangaza kuwa zoezi kuichukua fomu ya Urais Zanzibar limefunguliwa na mkutano wenye kuamua mgombea utafanyika dodoma.
Hii Ni kwa sababu mgombea wa CCM anateuliwa na Halmashauri kuu ya Chama ambayo inakutana makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi pale dodoma.
Modes mnisaidie kuedit mbugi imeanza rasmi na tuone ndoto ikitimia au ikipotea

The opposite is very true, Mwinyi will preside over Zanzibar in the interim of 5yrs before he becomes the URT President this is for sure. Best wishes Broo, I wanna be there so God keep alive to witness all this. I submit.
 
Kwa dhana hiyo ya kupokezana vijiti vya Urais wa JMT, basi baada ya Dr Magufuli uwezekano wa kupewa Mama Suluhu ni mkubwa wakati huo Dr Mwinyi akiendelea kuwa Rais na M/Kiti wa Baraza la Mapinduzi, Zanzibar. Ikitokea hivyo, Makamu wa Rais wa JMT huenda akawa Mh Majaliwa na hao wawili wakampendekeza Jaffo kuwa Waziri Mkuu.

Nami ni ndoto tu. Nawatakieni mwanzo wa W/end njema, baada ya shamra shamra za Eid Mubarak, na "byebye" Mh COVID-19

The leader of URT baada ya Magufuli mtake msitake ni mwanamtandao achana na hao vituko, our son/daughter whatever name will be on political holiday as we strategize. They gonna be fully fledged prepared and as well as dismantled almost every blockage by 95%. hizo hiiii.....twafwaa....hii okolachi....bakyitegede zote hola.
 
Nchi zetu hizi zenye demokrasia kiduchu bado sana kuongozwa na mwanamke. Tujenge kwanza misingi ya demokrasia na utawala bora ndipo wapewe nchi wanawake. Bado sana Afrika
 
Back
Top Bottom