mwekundu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 21,859
- 19,700
Naam kama ambavyo niliweza kutabiri kurudi kwa lowasa kabla hata ya tetesi ..nimeanza kunusia tena kitu
Kuna uwezekano mkubwa mh Dr Magufuli akaachia nafasi na kupisha wengine ,pia kuna uwezekano mkubwa tena Team Lowasa ikafufuka na team Membe zikapambana tena ...silaha zitafutwa vumbi tena
Hii inaweza kuwa kama surprise tu ,na hii inatokana na trend reading na nature ya mtu mwenyewe kama anavyopenda kusema kaka pasco Mayalla
Hili suala kuna possibility ya masehabu ya watu wengi kuvurugika pia na kwa upande mwingine itaibua furaha kuu pia kwa upande ambao unaonekana kuumizwa na utawala uliopo madarakani ndani na nje ya chama
Ni hayo tu nawasilisha ,one term president
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna uwezekano mkubwa mh Dr Magufuli akaachia nafasi na kupisha wengine ,pia kuna uwezekano mkubwa tena Team Lowasa ikafufuka na team Membe zikapambana tena ...silaha zitafutwa vumbi tena
Hii inaweza kuwa kama surprise tu ,na hii inatokana na trend reading na nature ya mtu mwenyewe kama anavyopenda kusema kaka pasco Mayalla
Hili suala kuna possibility ya masehabu ya watu wengi kuvurugika pia na kwa upande mwingine itaibua furaha kuu pia kwa upande ambao unaonekana kuumizwa na utawala uliopo madarakani ndani na nje ya chama
Ni hayo tu nawasilisha ,one term president
Sent using Jamii Forums mobile app