mchemsho
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 3,212
- 867
Mtabiri maarufu ametabiri kuwa Rais ajae Tanzania atakuwa ni mwanamke. Utabiri huo utakuwa umewakata maini Mh Laigwanani na Mh wa Mambo ya nje.
Source: Magazeti ya leo kama vile Majira na Jambo Leo
utumbo wa nguruwe hautengenezi supu