KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
Na mimi natabiri kuwa rais wa awamu ya tano Tanzania ni Dr W. Slaa.
Ni Nipi wamewahi kutabiri likatokea? Baba yake alitupiga fix kuwa atakayeshindana na kikwete atakufa
Na mimi natabiri kuwa rais wa awamu ya tano Tanzania ni Dr W. Slaa.
Nadhani kamtabiria Kifo Edward Lowasa. Haya tunasubiri kula ubwabwa
Nadhani kamtabiria Kifo Edward Lowasa. Haya tunasubiri kula ubwabwa
R,I,P Lowassa
[/I said:Pia alitabiri mwaka 2015 utamweka wazi kiongozi mmoja mashuhuri wa siasa nchini kurukwa kwake kwa akili bila kufichwa au kusitiriwa kama ilivyokuwa katika mwaka 2014.
=========================
Chanzo:Nipashe
Anatafuta hela ya kula huyo. Huyu kijana aliwahi kuwekwa ndani (alikuwa jela) kwa mauaji miaka ya nyuma, pesa ikatumika akatoka. Isije ikawa kinachomsumbua ni kivuli cha huyo marehemu...anayetuhumiwa naye!Hana dili huyo nae
Ye kajuaje? Kama ye mtabiri kweli mbona alishindwa udiwani pale magomeni 2010...ina maana alishindwa kujitabiria kuwa atashindwa?
Nadhani kamtabiria Kifo Edward Lowasa. Haya tunasubiri kula ubwabwa
je baada ya kushindwa udiwani alikimbilia chama gani?? naskia amehama kule alikogombea huo udiwaniYe kajuaje? Kama ye mtabiri kweli mbona alishindwa udiwani pale magomeni 2010...ina maana alishindwa kujitabiria kuwa atashindwa?