kurlzawa
JF-Expert Member
- Jan 23, 2018
- 16,703
- 20,606
umemaliza kila kituhata mimi nimejiuliza huyu katazama mpira keenye channel gani mpaka anasema kawaona PSG wameupiga mwingi,kiufupi Pochettino anamjua vizuri Pep ndomaana aliamua kukabia 4-4-2 ili asiruhusu pasi za City kupenya kirahisi ndomaana mipira mingi ya City haikuwa na madhara japo walimiliki mpira kwa muda mwingi wa mchezo kabla ya dk 45 za kipindi cha pili.