Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Guardiola kawazawadia kombe, starting a game like this of this magnitude without your two holding midfilders ni utani, kila anaeujua mpira kamshangaa.

No Fernandinho. No Rodri. Wow!.

Kaanza na kikosi ambacho hajawahi kukichezesha kabla yani ni utani, ndio maana Kante kazungusha pale kati kama malaika, amefanya majaribio kwenye game ya fainali I can't blv this.

Angeanza na kikosi kilichomtoa Dortmund na PSG msingetoka, Im very sure on this, tatizo lake anapenda majaribio yasiyo na maana.

Anyway, congrats kwa kupewa kombe na Guardiola himself.
Hahahahaaaa

Mbaazi ikikosa maua husingizia jua.
 
Ila we jamaa ni bonge la comedian duuh!!
Eti hakuwa serious, hiyo ndo ilikuwa game plan yake yaani uwezo wake kimbinu ndio umeishia hapo. Sasa wewe kocha wa mwadui sijui mashujaa eti unamuona Guardiola mjinga
Unamsujudia Guardiola unadhani ni malaika yule, soma mitandao ya nje uone anavyochanganya mambo kwenye game muhimu, toka akiwa na Bayern alipigwa 4 na R. Madrid Allianz Arena kwa ujuaji wake mwishowe akaja kukiri alikosea formation, na jana karudia ujinga ule ule.

Wanamuita tinkerman!!
 
Nilisema humu uache maneno mengi hukusikia ona sasa kilicho kukuta, Chelsea mliibeza sana tangu makundi ila jamaa wakashusha vipigo hadi mnashangaa.

Ukajitapa sana humu eti match itaisha first half .
Huyo Guardiola hajawahi kutamba mbele ya Chelsea tangu akiwa Barcelona na siku zote unatakiwa kujua kuwa Chelsea kwenye match za Final ya UEFA ni watu hatari sana ni kheri ukutana na Barce au Madrid kwenye final ila sio Chelsea watakutia aibu mzee.
Kwa ile City mbovu namna ile ya jana mlitakiwa kushinda atleast 3-0, sio 1-0, nahisi mpira wako utakuwa umeujulia kwenye TV sebuleni.
 
Eroo nimekwambia match ya FA Man City wali-rotate kikosi watu kama Mahrez, Gundogan, B. Silva, Foden, wote hawakuanza, tulia siku inakuja ushuhudie mateso mtakayopata.

Kuhusu Namungo kujitutumua una uwezo wakati ukweli hauna ni kama kaulevi flani hivi.
Chelsea watoto wadogo sana hao, watapasuliwa vibaya.
Mkimaliza maneno yote midomoni ndio City wataianza kazi yao tar 29.
We jamaa bana wacha pressure, Guardiola kabadilisha mpaka mfumo kacheza 5-1-3-1 sijui umewahi kuuskia kabla? na amefanya eight changes still jamaa ana rotate tu, plus Aguero nae kuonesha hawako serious akapiga ile penalt kisanii sasa watoto bado mnachekelea tu, subiri 29.5. mzee wa Namungo utapata majibu yako.
Tarehe 29 ndio kitapangwa kikosi kitakachowafanya mjione mlivyo watoto wadogo, wazungu wanakwambia "save the best for last"
Hiyo siku muwepo hapa msijesema simu zenu zilizima chaji.

Nimewaficha Neymar na Mbappe, nimempoteza Haaland; Chelsea ya Werner ni sawa na kunywa uji wa mgonjwa.
Hivi chelsea ina wachezaji gani wa kutisha ,wataje basi ??..

Haina wachezaji wabunifu wanaowezakuamua matokeo ,hao wanacheza kwa morali tu ,..

Sasa watakachokutana nacho final ,mtajuta kuingia uwanjani ..
Umenitajia majina ya wazee tupu hapo, kama ni Man City hata tusingejisifu kuwafunga tungenyamaza kimya, ila nyie watoto bana...
Timu inafungwa na Arsenal halafu inawataka Man City, kweli hamkijui mnachokiomba.
Guardiola kawazawadia kombe, starting a game like this of this magnitude without your two holding midfilders ni utani, kila anaeujua mpira kamshangaa.

No Fernandinho. No Rodri. Wow!.

Kaanza na kikosi ambacho hajawahi kukichezesha kabla yani ni utani, ndio maana Kante kazungusha pale kati kama malaika, amefanya majaribio kwenye game ya fainali I can't blv this.

Angeanza na kikosi kilichomtoa Dortmund na PSG msingetoka, Im very sure on this, tatizo lake anapenda majaribio yasiyo na maana.

Anyway, congrats kwa kupewa kombe na Guardiola himself.
Yes, hakuwa serious, game ya final UCL ameenda na kikosi cha majaribio.
"A winning side never change" Guardiola kavunja hiyo sheria ndio maana yamemkuta, he simply created a seed of his own destruction.
Game ya fainali anapanga kikosi cha majaribio, hakuna anaejua mpira atamuelewa.
Unamsujudia Guardiola unadhani ni malaika yule, soma mitandao ya nje uone anavyochanganya mambo kwenye game muhimu, toka akiwa na Bayern alipigwa 4 na R. Madrid Allianz Arena kwa ujuaji wake mwishowe akaja kukiri alikosea formation, na jana karudia ujinga ule ule.

Wanamuita tinkerman!!
Kwa ile City mbovu namna ile ya jana mlitakiwa kushinda atleast 3-0, sio 1-0, nahisi mpira wako utakuwa umeujulia kwenye TV sebuleni.
Huwezi cheza game ya CL final bila holding midfilders, kila anaejua mpira anamshangaa.
sawa Kashasha. Naona unazidi kuhamisha magoli tu.

Punguza mihemuko utakufa kabla ya wakati. Yaani kama unabet, sipati picha mhindi anavyokugaragaza!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamsujudia Guardiola unadhani ni malaika yule, soma mitandao ya nje uone anavyochanganya mambo kwenye game muhimu, toka akiwa na Bayern alipigwa 4 na R. Madrid Allianz Arena kwa ujuaji wake mwishowe akaja kukiri alikosea formation, na jana karudia ujinga ule ule.

Wanamuita tinkerman!!
Wakati unasema game itaisha first half hukujua kama huyo Guardiola unayejua historia yake ndiye unayemtegemea aifanye hiyo shughuli?

Wakati unasifia rotation ya kikosi sijui na nini, ulisahau unayemsifia hapo ni huyohuyo Pep?

Wewe tukupe Taifa Stars, naamini tutachukua World Cup.



Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom