😄😄😄😁PSG mabingwa wa red card, wanaongoza 2-0.
Ile game ya FA Guardiola hakuwa serious nayo, alipomuingiza Gundogan na Foden ghafla mambo yakabadilika bahati nzuri kwa Chelsea dkk zilikuwa zimeshaenda, naamini City akicheza na yoyote kati ya Chelsea au Madrid anachukua kombe, kuna kitu muhimu sana wameongeza kwenye mpira wao; DEFENCE, jamaa wamekuwa solid at the back mpaka nimeshangaa, & that guy Dias, to me is my man of the match today.Mbona kwenye nusu final ya FA game haikuisha first half ? Hadi wakafa 1bila?
Au man City walikuwa kwenye bonanza tu hawakuwa na shida na kombe la FA?
Mbona walihangaika sana na ToT kwenye final ya CA CUP juzi hapa hadi wakashinda kigoli kimoja kwa mbinde kwanini hawakuimaliza game first half?
PS umeijua lini?Hawana wachezaji wa kupiga msako, alafu achukue ubingwa upi wa kwenye PS au?
game ya kwanza hakupiga shuti leo akiingizwa anaweza asikimbie kabisaDogo Mbappe hayupo kwenye starting XI, saa itakuwaje...
Labda atakuja kwenye msako second half
Atasema PSG wamecheza zingeongezwa dakika 7 wangeshinda la kufutia machoziKichwa Kichafu tunasubiri tathmini yako ya huu mchezo.
Daaahhh, PSG imekufa kibudu hatari..game ya kwanza hakupiga shuti leo akiingizwa anaweza asikimbie kabisa
Aibu yako.Habari.
Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:
Leg 1.
27 April 2021 Tuesday
Paris Saint Germain Vs Manchester City
Real Madrid Vs Chelsea
Leg 2.
04 May 2021 Tuesday
Manchester City Vs Paris Saint-Germain
Chelsea Vs Real Madrid
Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.
Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.
Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.
Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.
Updates. 29/04/2021
Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.
1st leg.
Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic
✓Benzema
PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos
✓De Bruyne
✓Mahrez
Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.
Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu
Kwa mwaka huu fainali ni Man City vs ChelseaNatamani Chelsea wakutane na Man city katika fainali ya UCL. Timu zingine hizo hazina uwezo ingawa wana wachezaji wazuri ambao ni very talented.
PSG keshavuliwa chupi na keshapakwa mafuta ya rays huko.
Imefika mahali uzi huu imenibidi kuukana kwa nguvu zote kuwa sikuandika mimi.Kimoyo moyo unaujua ukweli, ila kiushujaa huwezi kuukana uzi wako.
Imefika mahali uzi huu inamenibidi kuukana kwa nguvu zote kuwa sikuandika mimi.
Washabiki wa Chelsea na man UNITED hamna tofauti.N'golo kante= Rodri+Gundogan+Kelvin de bruyne
Tukutane Istanbul .