Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Mbona kwenye nusu final ya FA game haikuisha first half ? Hadi wakafa 1bila?

Au man City walikuwa kwenye bonanza tu hawakuwa na shida na kombe la FA?

Mbona walihangaika sana na ToT kwenye final ya CA CUP juzi hapa hadi wakashinda kigoli kimoja kwa mbinde kwanini hawakuimaliza game first half?
Ile game ya FA Guardiola hakuwa serious nayo, alipomuingiza Gundogan na Foden ghafla mambo yakabadilika bahati nzuri kwa Chelsea dkk zilikuwa zimeshaenda, naamini City akicheza na yoyote kati ya Chelsea au Madrid anachukua kombe, kuna kitu muhimu sana wameongeza kwenye mpira wao; DEFENCE, jamaa wamekuwa solid at the back mpaka nimeshangaa, & that guy Dias, to me is my man of the match today.
#steel.

City possesses quality everywhere, you need to be very lucky to beat 'em.
 
Habari.

Hadi sasa zimebaki timu nne ambazo zitacheza hatua ya nusu fainali na ratiba:

Leg 1.
27 April 2021 Tuesday

Paris Saint Germain Vs Manchester City


Real Madrid Vs Chelsea


Leg 2.
04 May 2021 Tuesday

Manchester City Vs Paris Saint-Germain

Chelsea Vs Real Madrid


Hapo bila kupepesa macho mpira anaocheza Paris Saint Germain dhidi ya kocha wao Pochettino umekuwa na nidhamu ya kutafuta matokeo tu hakuna kingine.

Hivyo basiasi ubishe usibishe Paris Saint Germain atakuwa Champion wa ligi ya mabingwa ulaya.

Final itachezwa 29 May 2021 Ataturk Olympics Stadium.

Final itakuwa ni Paris Saint Germain Vs Real Madrid na bingwa atakuwa Paris Saint Germain.


Updates. 29/04/2021

Baada ya first leg matokeo yamekuwa yakishangaza kulingana na uzi wenyewe ila amini nawaambia wengi watashangazwa zaidi baada ya 2nd leg.

1st leg.

Real Madrid 1 - 1 Chelsea
✓Pulisic
✓Benzema

PSG 1 - 2 Manchester city
✓Marquinhos
✓De Bruyne
✓Mahrez

Hakika naendelea kuona PSG bado ana nafasi ya kusonga mbele vizuri kabisa kwa mpira niliyoona jana kwa zaidi ya dakika 50 alipiga mpira mwingi sana na hata Etihad nategemea wataweza kupindua meza vyema.

Real Madrid ana nafasi ngumu japo Chelsea waliweza kupambana na kucheza mpira mwingi ila pale darajani naona watalala na viatu pia naendelea kumpa nafasi Real Madrid kuendelea mbele.


Nawasilisha Mzee Mkoloni.

Cc: Kichwa Kichafu
Aibu yako.

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom