ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 17,274
- 22,008
Kumbe wewe ni kichaa wa kubetiCity anamaliza game na one short on target! hakuna cha tactics spot on wala nini, mmeuziwa game jana.
Kama TT anajua nini kiliwashinda kwa Leicester final ya FA Cup, na Aston Villa mkitafuta nafasi ya nne mpaka mkasaidiwa na Spurz!.