UTABIRI: Ndugai kuwa Naibu Waziri Mkuu ajaye na Tulia kuwa Spika wa Bunge lijalo

jitombashisho

JF-Expert Member
Jun 11, 2020
667
2,242
Mheshimiwa Ndugai hongera kwa kuumaliza mwendo vyema na kwa hakika ulimfaa sana JPM katika yote na ulijua vyema kucheza ngoma ya bwana mkubwa huyo.

Kwahivyo, kwa yote mema ni rasmi unaenda kuwa na cheo alichopata kuwa nacho ndugu Augustine Mrema.

Na kila lililo la kheri mwanadada Tulia kwa ndoto yako ambayo inaenda kuwa ya kweli katika majukumu yako mapya ya kuwa Spika ajaye wa bunge letu Tukufu.
 
Mheshimiwa Ndugai hongera kwa kuumaliza mwendo vyema na kwa hakika ulimfaa sana JPM Katika yote na ulijua vyema kucheza ngoma ya bwana mkubwa huyo.


Kwa hivyo kwa yote mema ni rasmi unaenda kuwa na cheo alichopata kuwa nacho ndugu Augustine Mrema.


Na kila lililo la kheri mwana dada Tulia kwa ndoto yako ambayo inaenda kuwa ya kweli katika majukumu yako mapya ya kuwa Spika ajaye wa bunge letu Tukufu.
Ndugai anapaswa kukamatwa na kujibu tuhuma nyingi za uvunjifu wa haki na sheria bungeni.
 
Kipindi cha Mrema Lyatonga wakati wa awamu ya pili, mzee wa kufunga magoli katiba ilikuwaje?
... walimvika "kilemba cha ukoka" naye kichwa kikavimba; I am sure hakupewa barua yoyote ya uteuzi kwenye hicho "cheo" zaidi ya maneno ya kisiasa. Bahati nzuri cheo kilichokuwa kinamlipa mshahara ni uwaziri wa mambo ya ndani na ndio maana siku za hivi karibuni baada ya choka mbaya amekuwa akilialia eti akumbukwe japo kifuta jasho kwa kile cheo feki. Lakini utata unakuja, alipwe kwa kifungu kipi? Hakipo!
 
Mheshimiwa Ndugai hongera kwa kuumaliza mwendo vyema na kwa hakika ulimfaa sana JPM katika yote na ulijua vyema kucheza ngoma ya bwana mkubwa huyo.

Kwahivyo, kwa yote mema ni rasmi unaenda kuwa na cheo alichopata kuwa nacho ndugu Augustine Mrema.

Na kila lililo la kheri mwanadada Tulia kwa ndoto yako ambayo inaenda kuwa ya kweli katika majukumu yako mapya ya kuwa Spika ajaye wa bunge letu Tukufu.
Naibu waziri mkuu?
 
Mheshimiwa Ndugai hongera kwa kuumaliza mwendo vyema na kwa hakika ulimfaa sana JPM katika yote na ulijua vyema kucheza ngoma ya bwana mkubwa huyo.

Kwahivyo, kwa yote mema ni rasmi unaenda kuwa na cheo alichopata kuwa nacho ndugu Augustine Mrema.

Na kila lililo la kheri mwanadada Tulia kwa ndoto yako ambayo inaenda kuwa ya kweli katika majukumu yako mapya ya kuwa Spika ajaye wa bunge letu Tukufu.
ID yako inatosha!
FB_IMG_1592137524831.jpeg
 
Back
Top Bottom