jitombashisho
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 667
- 2,242
Mheshimiwa Ndugai hongera kwa kuumaliza mwendo vyema na kwa hakika ulimfaa sana JPM katika yote na ulijua vyema kucheza ngoma ya bwana mkubwa huyo.
Kwahivyo, kwa yote mema ni rasmi unaenda kuwa na cheo alichopata kuwa nacho ndugu Augustine Mrema.
Na kila lililo la kheri mwanadada Tulia kwa ndoto yako ambayo inaenda kuwa ya kweli katika majukumu yako mapya ya kuwa Spika ajaye wa bunge letu Tukufu.
Kwahivyo, kwa yote mema ni rasmi unaenda kuwa na cheo alichopata kuwa nacho ndugu Augustine Mrema.
Na kila lililo la kheri mwanadada Tulia kwa ndoto yako ambayo inaenda kuwa ya kweli katika majukumu yako mapya ya kuwa Spika ajaye wa bunge letu Tukufu.