Fitinamwiko
JF-Expert Member
- Aug 13, 2012
- 4,803
- 1,416
1) Kuna tunaodhani Mh Kabwe Zitto huenda likawa chaguo la JK baada ya vuguvugu la M4C kutishia amani ya CCM, tatizo litakuwa ushawishi ndani ya CC ya CDM kupitisha jina lake.
2) Wapo wanaodhani ni Mh Lowasa, kwa mkataba waliotiliana (hawakuonana barabarani na JK), lakini Jinsi Nape alivyomchafua EL na Mwenyekiti kukaa kimya? Pia kitendo cha JK kususia mwaliko wa harusi ya Binti wa Mh Lowasa, JK anajitafakari na kujishuku huenda EL anaweza lipiza kisasi baada ya kuhamia magogoni.
3) Kashfa lukuki zinazomkabili Mh Lowasa, matatizo ya kiafya yaliyomkumbai Mh Mwandosa, Msimamo mkali unaofanana na wa CDM aliouonyesha Mh Sitta wakati wa Uspika, Uwezo mdogo wa uongozi na kutokujiamini katika siasa za kimataifa kulivyodhihirishwa na Dr. Migiro huko UN pamoja na jinsia yake. Kushindwa kuwakemea Uhamisho, Viongozi waandamizi wa CCM na baraza la mapinduzi kupinga muunganopamoja na baadhi ya waasisi, umakini wa Dr Shein umekuwa ? Mh Membe na Dr Nchimbi labda ndio chaguo mbadala la JK?
2) Wapo wanaodhani ni Mh Lowasa, kwa mkataba waliotiliana (hawakuonana barabarani na JK), lakini Jinsi Nape alivyomchafua EL na Mwenyekiti kukaa kimya? Pia kitendo cha JK kususia mwaliko wa harusi ya Binti wa Mh Lowasa, JK anajitafakari na kujishuku huenda EL anaweza lipiza kisasi baada ya kuhamia magogoni.
3) Kashfa lukuki zinazomkabili Mh Lowasa, matatizo ya kiafya yaliyomkumbai Mh Mwandosa, Msimamo mkali unaofanana na wa CDM aliouonyesha Mh Sitta wakati wa Uspika, Uwezo mdogo wa uongozi na kutokujiamini katika siasa za kimataifa kulivyodhihirishwa na Dr. Migiro huko UN pamoja na jinsia yake. Kushindwa kuwakemea Uhamisho, Viongozi waandamizi wa CCM na baraza la mapinduzi kupinga muunganopamoja na baadhi ya waasisi, umakini wa Dr Shein umekuwa ? Mh Membe na Dr Nchimbi labda ndio chaguo mbadala la JK?