OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,509
- 8,823
Huwezi kutaja Sserikali ukaacha kuitaja CCM, CCM na Serikali ni pande mbili tofauti zilizo kwenye sarafu moja, Dkt. Bashiru hakukosea kusema "mwenye dola atabaki madarakani", hiyo kauli ni halali iwapo kuna vyama imara vya upinzani.
Migogoro, tamaa ya madaraka na hujuma ndani ya CCM zinachelewesha maendeleo kwa wananchi, Mfano kumhujumu Rais kwa kumpelekea mtu asiyefaa kwenye taasisi nyeti ili aonekane nafanyi kazi huko sio kumkomoa raisi ni kuwakomoa wananchi.
CCM imejiunganisha na dola, makundi ndani ya CCM ndio haya yanayosababisha siri za serikali kuvuja, chuki na kuhujumiana,
Kadri siku zinavyokwenda tishio la kugombea madaraka ndani kwa ndani ndivyo linavyozidi kuongezeka.
Na hill tishio ili liishe kuna namna mbili pekee?
1. Kuvipa nguvu vyama vya upinzani?
2. Kuivunja na kuisuka upya CCM kwa kuitenganisha na Serikali?
Je, baada ya miaka 20 tutakuwa na siasa za namna gani?
Migogoro, tamaa ya madaraka na hujuma ndani ya CCM zinachelewesha maendeleo kwa wananchi, Mfano kumhujumu Rais kwa kumpelekea mtu asiyefaa kwenye taasisi nyeti ili aonekane nafanyi kazi huko sio kumkomoa raisi ni kuwakomoa wananchi.
CCM imejiunganisha na dola, makundi ndani ya CCM ndio haya yanayosababisha siri za serikali kuvuja, chuki na kuhujumiana,
Kadri siku zinavyokwenda tishio la kugombea madaraka ndani kwa ndani ndivyo linavyozidi kuongezeka.
Na hill tishio ili liishe kuna namna mbili pekee?
1. Kuvipa nguvu vyama vya upinzani?
2. Kuivunja na kuisuka upya CCM kwa kuitenganisha na Serikali?
Je, baada ya miaka 20 tutakuwa na siasa za namna gani?