Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,900
- 95,400
Aisee huyu ni Gado.
Mungu epesha
Kingo anajua sana yule kiumbe.Aisee huyu ni Gado.
Kuna kichwa cha zamani kinaitwa kingo. Bado kipo kwenye game.
Sasa hivi kimekuja kivingine kule Twitter ni noma.
Bongo kuna vichwa sanaa
mkuu hapo unaona kunguru kabisa😄😄😄😆😆😆😀Mimi naona tafsiri yake ni kwamba kuna Watu wanamsumbua mama (Hao kunguru wanaoruka kwa uekekeo wa kumnyakua)hivyo itabidi apate sapoti ya jeshi ili awe Salama, ndio maana anaomba kupewa nguvu (gun)
🤣🤣🤣Noma nyingi.Mfungwa kama weye ukitoka jela aka "big- brothers' house" inabidi utafutiwe chura mkuuubwaaa umfanyie dissection afsa wangu!😛😛😛😛
VulturesAnaomba bunduki akawashoot waliojisainisha mikataba ya madini sio?
Nikila tena ban hayakuhusu,mind your bisiness folk!Utakula tena ban mkuu watch out