Mkuu wanasafishwaga hawa utamuona nuru Kuna vitengo hatariSasa ili uwe kiongozi ni lazima uwe na hiyari ya wananchi. Huyu tayari ana madoa mengi sana yanayomnyima uhalali wa kuwa rais hata uwaziri mkuu tu.
Kimsingi hafai. Na akijaribu kulazimisha vitamtokea puani.
Watamsafisha kwa tunayoyajua itakuwa ngumu sana kwanza mziki unaanza hiyo 2025.Mkuu wanasafishwaga hawa utamuona nuru Kuna vitengo hatari
Labda Rais wa Wasafi,Kama muijuavyo nchi yetu, nimekuwa nikim-trace January na 'trajectories' zake zote, na kuona kuwa anapikwa muda huu ninapoandika haya ili aje kuwa Rais wa nchi hii. Sisemi kwa kubahatisha ila naona hata Uwaziri aliopewa ni kwa mkakati maalumu, na si bure.!
Tutarajie lolote kwa wakati huu, keep my words brothers.! JM is gonna be the President of this wealthy state!
Sipo upande wa chama chochote ila kwa dalili hizi za wazi zinazoonekana, ni WAZI JM anakwenda kuwa Mkuu wa nchi. Like it or not, believe it or not.!
Tanesco tu imemshinda tunalala giza nchi unafikiri ataweza sasa?Kama muijuavyo nchi yetu, nimekuwa nikim-trace January na 'trajectories' zake zote, na kuona kuwa anapikwa muda huu ninapoandika haya ili aje kuwa Rais wa nchi hii. Sisemi kwa kubahatisha ila naona hata Uwaziri aliopewa ni kwa mkakati maalumu, na si bure.!
Tutarajie lolote kwa wakati huu, keep my words brothers.! JM is gonna be the President of this wealthy state!
Sipo upande wa chama chochote ila kwa dalili hizi za wazi zinazoonekana, ni WAZI JM anakwenda kuwa Mkuu wa nchi. Like it or not, believe it or not.!
Haha! Usipokubali wewe wapo watakaokubali! Angalia ile 2015 kwa lowasa chadema ati fisadi akakubaliwa..😂Watamsafisha kwa tunayoyajua itakuwa ngumu sana kwanza mziki unaanza hiyo 2025.
Wakati mimi naona afikishi miaka 10 ijayo.Kama muijuavyo nchi yetu, nimekuwa nikim-trace January na 'trajectories' zake zote, na kuona kuwa anapikwa muda huu ninapoandika haya ili aje kuwa Rais wa nchi hii. Sisemi kwa kubahatisha ila naona hata Uwaziri aliopewa ni kwa mkakati maalumu, na si bure.!
Tutarajie lolote kwa wakati huu, keep my words brothers.! JM is gonna be the President of this wealthy state!
Sipo upande wa chama chochote ila kwa dalili hizi za wazi zinazoonekana, ni WAZI JM anakwenda kuwa Mkuu wa nchi. Like it or not, believe it or not.!
KimaKama muijuavyo nchi yetu, nimekuwa nikim-trace January na 'trajectories' zake zote, na kuona kuwa anapikwa muda huu ninapoandika haya ili aje kuwa Rais wa nchi hii. Sisemi kwa kubahatisha ila naona hata Uwaziri aliopewa ni kwa mkakati maalumu, na si bure.!
Tutarajie lolote kwa wakati huu, keep my words brothers.! JM is gonna be the President of this wealthy state!
Sipo upande wa chama chochote ila kwa dalili hizi za wazi zinazoonekana, ni WAZI JM anakwenda kuwa Mkuu wa nchi. Like it or not, believe it or not.!
Kwa jinsi mambo yanavyoenda atakuja JPM prt 2na wasipobadili katiba mapema watu wengi watapotea.Actually anaweza kuja Rais tusiemtarajia na akaja kuwa zaidi ya JPM kwa kukomesha watu..
Hakunaga mtabiri wa Future mwenye accuracy ya uhakika.....
A lot depends with a lot of things
Rudi kwenye uhalisia ambao ni Ccm itatoa raisi wa nchi tena. Haijalishi ni nani watamuweka. Atakuwa labda wananchi waamue vinginevyo, ila wananchi wapi hao wa kuamua vinginevyo😀?Watamsafisha kwa tunayoyajua itakuwa ngumu sana kwanza mziki unaanza hiyo 2025.