Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,612
- 1,410
Kama muijuavyo nchi yetu, nimekuwa nikim-trace January na 'trajectories' zake zote, na kuona kuwa anapikwa muda huu ninapoandika haya ili aje kuwa Rais wa nchi hii. Sisemi kwa kubahatisha ila naona hata Uwaziri aliopewa ni kwa mkakati maalumu, na si bure.!
Tutarajie lolote kwa wakati huu, keep my words brothers.! JM is gonna be the President of this wealthy state!
Sipo upande wa chama chochote ila kwa dalili hizi za wazi zinazoonekana, ni WAZI JM anakwenda kuwa Mkuu wa nchi. Like it or not, believe it or not.!
Tutarajie lolote kwa wakati huu, keep my words brothers.! JM is gonna be the President of this wealthy state!
Sipo upande wa chama chochote ila kwa dalili hizi za wazi zinazoonekana, ni WAZI JM anakwenda kuwa Mkuu wa nchi. Like it or not, believe it or not.!