Kule Kenya kulikuwa na chama imara na kilicho tikisa taifa kilichoitwa Kanu.
Hakuna asie juwa vile Kanu chini ya Kenyata na Mzee Moi kilivyo watoa kamasi wakenya.
Kilikuwa na power full makachero na kilikuwa na majasusi hatari like never before sidhani hata cc wamefikia hizo level.
Chini ya Moi chama kilishika hatam chini ya kauli yake Tata ya Harambee.
Wakenya walilima kwa kucha na Taifa lilipita nyakati uwenda mpaka sasa bado haijawahi tutokea.
Vifo vya kutisha kama kile cha akina Auko na yule waziri wa Ulinzi havito sahaulika ktk historia ya Kenya.
Raila Odinga huyu Mtoto pamoja na baba yake wamepona chupuchupu kwenye matukio yakupotezwa kwa sababu yasiasa.
Ilifika mahali wakenya walisema inatosha na wazee wakuu wa Taifa wakaona ndani ya kanu vita ya masilahi inataka kuliacha taifa ktk mtanziko mkubwa na uwenda chama kama chama kikawa moja ya kitisho cha uhai wa taifa na amani baada ya makundi hatari ndani ya chama kuibuka nakuwa kitisho kikubwa kwa viongozi na chama yani umafya umafya.. u do me i do u.
Tetesi zinasema wenye akili wakasema twendeni na dira ya Baba wa Taifa ila sasa vyombo vya ulinzi vifanye kazi yake na wanasiasa wafanye kazi yao.
Wanasiasa fanyeni siasa walinzi tunalinda atakaye shinda na kuzuwia makundi hatari ya uharamia ndani ya chama.
Pili historia yakutisha ya Kanu ili fika hatuwa wakasema huu mzoga utatunukia sisi na vizazi vyetu hivyo bora tuachane nao.
Mwisho wa Yote Kanu ilikufa na ndipo kukaibuka vyama kama Orange na 🍌 na yote yaliendelea ni historia.
Haikuwa Rahisi ila Kenya leo wanapumua na yule alie nyanyasika kwa miaka mingi anaenda kuwa Rais.
Sina huwakika kama chama cha ccm kitavuka tena miaka 50 au 10 kama hakija jigawa ili kupisha mabadiliko.
Huko tuendako uwenda chama kitakuwa na wakati mgumu sana kutokana na madhila na matukio watanzania wameona chini ya CCM.
Nina tia shaka wakuu wa Taifa hili ipo siku watasema bora kuvunja chama kuliko kubaki wamoja wakati ktk mioyo hatupo wamoja.
Ni siku ngumu na chungu uwenda wengi wasingependa kuiona ila uwenda tupo karibu sana.
Hakuna asie juwa vile Kanu chini ya Kenyata na Mzee Moi kilivyo watoa kamasi wakenya.
Kilikuwa na power full makachero na kilikuwa na majasusi hatari like never before sidhani hata cc wamefikia hizo level.
Chini ya Moi chama kilishika hatam chini ya kauli yake Tata ya Harambee.
Wakenya walilima kwa kucha na Taifa lilipita nyakati uwenda mpaka sasa bado haijawahi tutokea.
Vifo vya kutisha kama kile cha akina Auko na yule waziri wa Ulinzi havito sahaulika ktk historia ya Kenya.
Raila Odinga huyu Mtoto pamoja na baba yake wamepona chupuchupu kwenye matukio yakupotezwa kwa sababu yasiasa.
Ilifika mahali wakenya walisema inatosha na wazee wakuu wa Taifa wakaona ndani ya kanu vita ya masilahi inataka kuliacha taifa ktk mtanziko mkubwa na uwenda chama kama chama kikawa moja ya kitisho cha uhai wa taifa na amani baada ya makundi hatari ndani ya chama kuibuka nakuwa kitisho kikubwa kwa viongozi na chama yani umafya umafya.. u do me i do u.
Tetesi zinasema wenye akili wakasema twendeni na dira ya Baba wa Taifa ila sasa vyombo vya ulinzi vifanye kazi yake na wanasiasa wafanye kazi yao.
Wanasiasa fanyeni siasa walinzi tunalinda atakaye shinda na kuzuwia makundi hatari ya uharamia ndani ya chama.
Pili historia yakutisha ya Kanu ili fika hatuwa wakasema huu mzoga utatunukia sisi na vizazi vyetu hivyo bora tuachane nao.
Mwisho wa Yote Kanu ilikufa na ndipo kukaibuka vyama kama Orange na 🍌 na yote yaliendelea ni historia.
Haikuwa Rahisi ila Kenya leo wanapumua na yule alie nyanyasika kwa miaka mingi anaenda kuwa Rais.
Sina huwakika kama chama cha ccm kitavuka tena miaka 50 au 10 kama hakija jigawa ili kupisha mabadiliko.
Huko tuendako uwenda chama kitakuwa na wakati mgumu sana kutokana na madhila na matukio watanzania wameona chini ya CCM.
Nina tia shaka wakuu wa Taifa hili ipo siku watasema bora kuvunja chama kuliko kubaki wamoja wakati ktk mioyo hatupo wamoja.
Ni siku ngumu na chungu uwenda wengi wasingependa kuiona ila uwenda tupo karibu sana.