Hakuna timu inaitwa manyumbu ulayaManyumbu Fc haendi kokote hapo amefika mwisho arudi nyumbani kupigania nafasi ya 4
Kama ni kwa kikosi kile cha Man Utd kaa endelea kujiliwaza maana mukiendelea kuwaza mtakufa siku si zenu.. Barca sio PSG wale.. Hispania ni full mziki akitoka mtu anaingia mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamaanisha nini hapa mkuuHata kwa tathmini ndogo isiyotumia nguvu nyingi ya akili, ubora wa kikosi walichonacho Barca unaweza kulinganisha na PSG & JUVENTUS?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja tuoneLiverpool vs totenham hot spurs
Ova
13SEPTEMBER
Tabiri kama hizi hutokea miaka mingi sana inayokuja. Generation yetu ya Tano yetu nyakati hizi za mbele itarudu na kukwarura JF na kuthibitisha utabiri huu.
Kwani naamini kizazi hikikutapita kwa hilo kutokea
The theater of dreams
Hujui ata fainal inachezeka wapi au umekalili kiwanja pekee kilicho katika jiji la Madrid ni bernabeu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi na wewe nani yupo sahihi?
Man u ishatolewa na spurs watatolewa
Na screenshot hii pumba yakoCity anaondoka
God first
Hata kwa tathmini ndogo isiyotumia nguvu nyingi ya akili, ubora wa kikosi walichonacho Barca unaweza kulinganisha na PSG & JUVENTUS?
Sent using Jamii Forums mobile app
Manchester United atamtandika Liverpool nusu fainali huku Tottenham ikitandikwa na Juventus nusu fainali ya pili
Tukutane benabuu
God first
Camp Now ndio wapi??Afghanistan??kama ni uwanja wa Barcelona unaitwa Nou Camp