MTAKA HABARI
Senior Member
- Jan 17, 2019
- 123
- 149
Nnacho kiona sasa ndani ya CCM sifa kuu za wagombea itakuwa ni kujipendekeza,unafiki,Wapika majungu,ndio mzee,waropokji na wabeba mikoba ya wakubwa.utamu wa CCM yenye watu wa kujenga hoja inakufa.
Wazee wenye hekima wamekaa kama vile ccm si yao tena.huenda ccm yao wanayo uchaguzi WA 2020
CCM sasa kimekuwa ni chama cha watu wachache wanaopenda kusikia yale wanayoyapenda tu.
CCM KWA SASA MNANITATIZA,TUNATAKA WAJENGA HOJA SIYO WAJENGA VIOJA.
NITASEMA KWELI DAIMA CCM OYEEE
Wazee wenye hekima wamekaa kama vile ccm si yao tena.huenda ccm yao wanayo uchaguzi WA 2020
CCM sasa kimekuwa ni chama cha watu wachache wanaopenda kusikia yale wanayoyapenda tu.
CCM KWA SASA MNANITATIZA,TUNATAKA WAJENGA HOJA SIYO WAJENGA VIOJA.
NITASEMA KWELI DAIMA CCM OYEEE