mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,050
- 4,904
Wakuu, wanamsimbazi kindakindaki, kwa namna Simba inavyocheza, huku wakijichanganya kwenye eneo la viungo na kukosa maelewano, Basi tutarajie safar za mafanikio mwaka huu Ni zero bin sifuri!
Kuna wengi wanaamini Simba imehujumiwa na wachezaji, lakin ukwel Ni kwamba wachezaji hawakuuza match ya Jana ila ndio kiwango Cha timu iliyopo kwa Sasa!
Sasa kwa aina ya uchezaji wasimba, viungo hawana umoja, hawaeleweki, pila biriani, sambusa , kachumbali halipo Tena, Tutegemee kwa matumaini kuwa Simba ya namna hii bado itakuwa na uwakilishi wa Taifa kwa ubora ule tuliouzoea!!!?? Laah. Hasha, ilo haliwezekani!!
Bila shaka Simba hii itatupwa kwenye play off cuf confederation , lakin pia NBC premier league hawataichukua!!
Ni suala la muda tu!
Kuna wengi wanaamini Simba imehujumiwa na wachezaji, lakin ukwel Ni kwamba wachezaji hawakuuza match ya Jana ila ndio kiwango Cha timu iliyopo kwa Sasa!
Sasa kwa aina ya uchezaji wasimba, viungo hawana umoja, hawaeleweki, pila biriani, sambusa , kachumbali halipo Tena, Tutegemee kwa matumaini kuwa Simba ya namna hii bado itakuwa na uwakilishi wa Taifa kwa ubora ule tuliouzoea!!!?? Laah. Hasha, ilo haliwezekani!!
Bila shaka Simba hii itatupwa kwenye play off cuf confederation , lakin pia NBC premier league hawataichukua!!
Ni suala la muda tu!