Utaalam wanaotumia Wachawi katika kuumiza watu

Mpumbavu ni yule ambaye hajui na anajua kwamba hajui. Bali yule ambaye hajui na hajui kwamba hajui huyo ni mjinga na ukimuelewesha ujinga unakwisha. Maana ujinga ni ignores..lkn upumbavu ni kipaji km urefu na ufupi. Ndo maana jamaa hapo kasema huu ni upuuzi. Hayo maelezo yako yote hayana uthibitisho wowote...hakuna kitu kinaitwa uchawi..hakipo hiyo ni dhana tu tena ambayo inajengwa na wapumbavu. Na hii dhana kwa kiwango kikubwa huwa inajengwa na kuaminiwa zaidi na makundi mawili. Masikini ambao wanajenga chuki dhidi ya waliofanikiwa. Na lengo la kutafuta uchawi huwa si kwa nia ya wao kutajirika bali kumroga Tajiri ili walingane. Kundi la pili ni la watu waliokata tamaa ya maisha! Hawa ndo hatari zaidi,maana kutokana na hali zao aidha za kukosa mali au kazi hata km wamesoma,na wale waliougua au kuuguliwa muda mrefu. Hawa wakidanganywa chochote huwa wanaamini. Na kundi hili ndo linasumbua hata mikoa ya njombe hv sasa kwa kufanya mauaji wakiamini kufanya hivyo watatajirika au kupata kazi...!!

Jambo moja ambalo watu hawajui,waganga wa kienyeji wanasoma saikolojia yako tangu wanapoanza kukuchukulia pesa. Mganga akiona amekula pesa yako nyingi,ndo atakupa hayo masharti ya kijinga,ama ukaue au kukabaka na lengo lake ukamatwe ili ufungwe maisha au miaka 30 ukitoka na yy alishakufa. Hakuna uchawi mkuu,huu ni upuuzi km upuuzi mwingine tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha mkuu hii science isikie kamwe usiwish ikutokee, labda nikupekele kwenye mambo ya kawaida, hivi JK Rowling mwandish wa fiction novel ya Harry Potter, alijuaje sumbawanga Kuna wachawi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha mkuu hii science isikie kamwe usiwish ikutokee, labda nikupekele kwenye mambo ya kawaida, hivi JK Rowling mwandish wa fiction novel ya Harry Potter, alijuaje sumbawanga Kuna wachawi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unarudia nadharia ileile kwani akisema Jk Rowling kwamba sumbawanga kuna wachawi ndo wanakuwepo kweli!?? Huu ni upuuzi tu km upuuzi mwingine. Kwani hata shetani si anasemwa kila sehemu kuwa yupo ww ulishawahi kumuona wapi!?? Shetani ni kichaka tu cha watu wajanja wanaotendea binadamu wenzao maovu kwa kisingizio cha shetani. Hakuna uchawi na hakuna shetani. Ukizini ni ww umezini siyo usingizie shetani...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha kwani mkuu akili zipo? Na kama zipo umewahi kuziona?
Mkuu unarudia nadharia ileile kwani akisema Jk Rowling kwamba sumbawanga kuna wachawi ndo wanakuwepo kweli!?? Huu ni upuuzi tu km upuuzi mwingine. Kwani hata shetani si anasemwa kila sehemu kuwa yupo ww ulishawahi kumuona wapi!?? Shetani ni kichaka tu cha watu wajanja wanaotendea binadamu wenzao maovu kwa kisingizio cha shetani. Hakuna uchawi na hakuna shetani. Ukizini ni ww umezini siyo usingizie shetani...

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchangiaji Magode naomba nikuulize:-
Unaposikia furaha au uchungu au hasira, unaisikia wapi? Unaweza kuona furaha ukajua inafanaje? Una maana kitu ambacho hukioni hakipo? Je, hewa haipo? Kwani inafananaje? Umeme haupo? Unafananaje? Ukisema shetani hayupo kwa sababu haonekani una tofauti gani na yule anayesema furaha haipo kwa sababu haionekani? Kwenye ubongo wako kuna seli tu ambazo ni aina fulani ya nyama. Je, hayo mawazo yanayokufanya useme shetani hayupo wala uchawi haupo yanatokaje kwenye ubongo wako yakajiumba mpaka ukaweza kujieleza kwa kuyaandika?
 
Akili ni kitu halisi ingawa hakishikiki...yaani akili unalinganisha na hadithi za kufikirika!?? Akili ni matokeo ya utendaji kazi wa ubongo..na shetani au uchawi ni matokeo ya nn!??

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hio si kila ambacho hakishikiki kuwa hakipo mfano mzur hio akili, nataka ufahamu mwanaadamu ni kiumbe dhaifu kwa maana hata baadhi ya mambo anashindwa mpaka na wanyama, mfano kati ya mbwa na mtu nani anauwezo mkubwa wakusikia sauti na kunusa harufu? Hivo kutokana na udhaifu huo hawezi kuyadiriki mambo mengi. Pia science bado changa mno huwenda vizaz vijavyo vikaja na tounjoble evidence

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mchangiaji Magode naomba nikuulize:-
Unaposikia furaha au uchungu au hasira, unaisikia wapi? Unaweza kuona furaha ukajua inafanaje? Una maana kitu ambacho hukioni hakipo? Je, hewa haipo? Kwani inafananaje? Umeme haupo? Unafananaje? Ukisema shetani hayupo kwa sababu haonekani una tofauti gani na yule anayesema furaha haipo kwa sababu haionekani? Kwenye ubongo wako kuna seli tu ambazo ni aina fulani ya nyama. Je, hayo mawazo yanayokufanya useme shetani hayupo wala uchawi haupo yanatokaje kwenye ubongo wako yakajiumba mpaka ukaweza kujieleza kwa kuyaandika?
Unaongelea vitu ambavyo vyote vinamchakato na na hayo unayouliza ni matokeo ya huo mchakato. Mfano umeme haushikiki lkn upo kwa sababu mchakato wake upo na tunachotumia ni matokeo ya huo mchakato. Shetani anamchakato unaotokana na nn mkuu km siyo nadharia tu iliyotengenezwa na wajanja kutafuta kisingizio...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hio si kila ambacho hakishikiki kuwa hakipo mfano mzur hio akili, nataka ufahamu mwanaadamu ni kiumbe dhaifu kwa maana hata baadhi ya mambo anashindwa mpaka na wanyama, mfano kati ya mbwa na mtu nani anauwezo mkubwa wakusikia sauti na kunusa harufu? Hivo kutokana na udhaifu huo hawezi kuyadiriki mambo mengi. Pia science bado changa mno huwenda vizaz vijavyo vikaja na tounjoble evidence

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unajichanganya mkuu..!!?? Akili ina mfumo rasmi hicho ambacho hakishikiki ni matokeo ya huo mfumo wa utendaji wa ubongo. Thibitisha hapa shetani ingawa hashikiki anatokana nini!?? Ukithibitisha kuanzia leo me pia ntaamini uchawi(dhana ya kijinga kabisaa!)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoto ndio radar yako hivo usiipuuze :Sehemu ya tatu
Baada ya kufahamu njia ambazo wachawi huzitumia kuwatesa watu, sasa hapa nitaelezea kwa ufupi ni vipi utaweza kujua hawa jamaa wanataka kukushika? Njia pekee ya kwanza kabisa ni kupitia ndoto, kivipi basi? Ni kama ifuatavyo :
1) Ukiwa unaota ndoto halafu asubuhi huwezi kuisimulia jua jamaa tayari wanaanza mchakato wa kukushika (yaani kusahau ulicho kiota)
2)Ukiwa unaota na kusimulia baadhi ya vipande na kutokuweza kukumbuka vyengine
3)Kutokuota kabisa ni hii ndio hatari zaidi, kwan ndoto ndio sehemu pekee ambayo wewe inakuunganisha na ulimwengu mwengine, parallel world.
Hivo basi kua na desturi na tamaduni ya kuchunguza vitu unaota maana wakitaka kukushika huwa wanadukua hizo ndoto na usiweze kuwaona.
Hakuna janga baya kama hili la kurogwa ama kufanyiwa Uchawi, sasa hivi unaona upo mzima ndio unapata ujasir wa kudhihaki na kuona hizi ni habari za kufikirika. Usiombe yakufike just we enjoy reading .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hata hivi vitu ambavyo akili yako na yangu havina uwezo wa kupercive vina mfumo maalum na huko kutoonekana kwake ndio zao la hio system bro
Mbona unajichanganya mkuu..!!?? Akili ina mfumo rasmi hicho ambacho hakishikiki ni matokeo ya huo mfumo wa utendaji wa ubongo. Thibitisha hapa shetani ingawa hashikiki anatokana nini!?? Ukithibitisha kuanzia leo me pia ntaamini uchawi(dhana ya kijinga kabisaa!)

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unajichanganya mkuu..!!?? Akili ina mfumo rasmi hicho ambacho hakishikiki ni matokeo ya huo mfumo wa utendaji wa ubongo. Thibitisha hapa shetani ingawa hashikiki anatokana nini!?? Ukithibitisha kuanzia leo me pia ntaamini uchawi(dhana ya kijinga kabisaa!)

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu naomba urejee references zifuatazo :Marcus A. Knep, MD and Milton J. Chatton, MD, editors current Medical Diagnosis and treatment California :Lange Medical Publications, Middle East Edition, 1982,p575)
Then among Greek philosophical schools of thought, only the Epicureans ndio wameclaim there is no such beings as demons ila Aristotle amekubali the popular view of demons, as identical with the souls of the dead.
(Encyclopedia of Religion and Ethics, vol. 4,Pp.593-594)
Sasa ikiwa hawa waliopita ambao wametoa mchango mkubwa katika secular Ed wamekubali isipokua kundi dogo tu ndio limepinga huoni kuwa hii kitu ni kweli kabisa na wala sio hadithi za kusadikika? Kwani wangapi katika atheists walimkana Muumbaji ila wakati wa kufa kwao wakajustfy kwa maneno yao ya mwisho kuwa wao wanauona moto? As far as akili yako ipo sawa na wala sio mtu wa drugs basi sasa nitakua nimekushawishi at least uweze kufumbua macho na kuanza kusoma na kutafiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wow! What a very good thread! mtoa mada endelea kutupa vitu adimu tuendelee kujifunza
 
Mtoa maada ni mwongo mpotoshaji mnafiki,ifahamike uchawi hauna maana kabisa uchawi ni nguvu ambayo ili itende kazi inaanzia kichwani au mawazoni mwako.uchawi ni upuuzi tu mtoa mada ni wale wasio jiamini mtu yeyote anae jiamini halogeki

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna mtaa nimehamia kisanga Nilichokikuta kuna jamaa Kanasa akiloga huwa anawachapa masela na wakina mama kichawichawi.wewe kuongea ujinga wako hapa utakuwa unahusika
 
kuna mtaa nimehamia kisanga Nilichokikuta kuna jamaa Kanasa akiloga huwa anawachapa masela na wakina mama kichawichawi.wewe kuongea ujinga wako hapa utakuwa unahusika
Kuna vijitabu huwa vinauzwa kwenye maduka yasio rasmi, humo mna hizo curses za kufanya hayo mambo, moja wapo unaweza kumfuata mwanamke hata dirishani kwake ukamuita halafu ukamalizana nae. Binafsi hiko kitabu nilikipata ila sijawahi kutumia.
Copy ya hicho kitabu ni 70, na wala sio kikubwa. Mna mambo hatari sana humo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vijitabu huwa vinauzwa kwenye maduka yasio rasmi, humo mna hizo curses za kufanya hayo mambo, moja wapo unaweza kumfuata mwanamke hata dirishani kwake ukamuita halafu ukamalizana nae. Binafsi hiko kitabu nilikipata ila sijawahi kutumia.
Copy ya hicho kitabu ni 70, na wala sio kikubwa. Mna mambo hatari sana humo.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu yaani unamuita tu halafu inakuaje?anakuja nje unachapa halafu anarudi ndani au?hiyo 70 ni elfu au?fanya mpango Wa kurasa kadhaa kuna jirani nimemuona hapa nifanye mambo kimya kimya kwa sababu michepuko siyo dili
 
Ndio unamuita tu kwa jina, halafu hio ni elfu 70, halafu lengo la huu uzi ni kukemea haya mambo na kuamsha waliolala na madhila haya wanayofanya binaadam wenzetu wenye roho mbaya. Mchawi ni mtu mbaya mno na hii taaluma sio ya kujaribu kabisa mana ukiingia hutotoka tena.
mkuu yaani unamuita tu halafu inakuaje?anakuja nje unachapa halafu anarudi ndani au?hiyo 70 ni elfu au?fanya mpango Wa kurasa kadhaa kuna jirani nimemuona hapa nifanye mambo kimya kimya kwa sababu michepuko siyo dili

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom