Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,456
- 45,745
Mtakuwa na akili sana kama sababu ndio zilukuwa hizo
Yaani mmezuia ajali nyingi hahaha
Hayo mabasi yanauwa watu kila kukicha hayana wataalamu?
Na hayo mashangingi yanauwa wenye elimu hao hao nao tuwaweke kundi gani?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Yaani mmezuia ajali nyingi hahaha
Hayo mabasi yanauwa watu kila kukicha hayana wataalamu?
Na hayo mashangingi yanauwa wenye elimu hao hao nao tuwaweke kundi gani?
Sent from my SM-G570F using Tapatalk