Ngaliba Dume
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 1,710
- 3,669
Siku chache baada ya Mbunge wa K/Kaskazini Z.Z.Kabwe kutoa hoja binafsi bungeni juu ya uwepo wa Watanzania kuficha mabilioni nchini Uswisi ili serikali ifanye uchunguzi na kuwabaini,serikali ya Uswis imetoa masharti kadhaa ili jambo hilo lifanyike.
Masharti hayo ni pamoja na serikali ya Tanzania inatakiwa iwataje wahusika wanaotuhumiwa, pia itaje na makampuni ya utafutaji wa Mafuta yanayodaiwa kuhonga ili yapatiwe maeneo ya uchimbaji.
Pia Tanzania imetakiwa izithibitishie mamlaka za Uswis kuwa pesa/mabilioni hayo yametokana na rushwa au "Fraud", pia waeleze nani alimuhonga nani na namna fedha hizo zilipofanyiwa "Transactions"
...kwa masharti hayo na mengine, Serikali ya Uswis itakuwa tayari kutoa ushirikiano na si vinginevyo....
Je, masharti hayo ni msaada kwa Watanzania kupata "Offshore Billions" au ndo kinyume chake?
Masharti hayo ni pamoja na serikali ya Tanzania inatakiwa iwataje wahusika wanaotuhumiwa, pia itaje na makampuni ya utafutaji wa Mafuta yanayodaiwa kuhonga ili yapatiwe maeneo ya uchimbaji.
Pia Tanzania imetakiwa izithibitishie mamlaka za Uswis kuwa pesa/mabilioni hayo yametokana na rushwa au "Fraud", pia waeleze nani alimuhonga nani na namna fedha hizo zilipofanyiwa "Transactions"
...kwa masharti hayo na mengine, Serikali ya Uswis itakuwa tayari kutoa ushirikiano na si vinginevyo....
Je, masharti hayo ni msaada kwa Watanzania kupata "Offshore Billions" au ndo kinyume chake?