uswazi

Kimbweka

JF-Expert Member
Jul 16, 2009
8,597
1,683
Mambo ya kitaa kama kawa kukamata chupa

uswazi.jpg
 
dizaini ka kule mbele kuna vyumba so mambo yote yanaishia humo humo.aiseeeeeeeeehh
 
Kweli mkuu umekosa kazi! Yaani picha ya tarehe 1/5/2008 unatuletea hapa leo?

Mkuu Muhimu kujikumbushia vitu! Hujui ndiyo maana kuna hifadhi ya mambo ya kale! Halafu kumbuka nataka nipotezee yaliyotokea IGUNGA
 
attachment.php


Mh! Kweli hii ni uswazi...bar chafuuuu na hivyo visholi mh! check huyo wa kwanza kulia meno ya njano sijui kama hata mswaki wa mti anapitisha huyo..Lakini watu wamo tu wanakoboa...uleviii noooma!
 
watu tunataka current issue we unaleta zilipendwa,nini maana ya jamii forums tanzania
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom