Mseme uchawi kwanini? Mbona boti iko juu ya maji kama inavyotakiwa? Kinachokuzingua hapo ni hicho kivuli cha boti ambacho kinafanya boti ionekane kama vile ina hang hewani yaani haijagusa maji. Tazama vizuri.
iko kwenye maji angalia mtu karibu na injini kaingiza miguu majini na angalia nanga imetumbukia majini na kama ingekuwa hewani ile nanga ngekuja kuzama hapo kwenye kivuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.