rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,442
Leo nimeshuka mitaa fulani ya Tandika, nikashikwa tumbo la kuhara, nikaona frame imeandikwa "Duka la dawa za binaadam" nikarash fasta kutafuta dawa ya tumbo, ile na storm in ghafla nakuta wadada wansugua watu scrub!! kumbe imebadilishwa ni salon!! jamani twende na wakati!