Kuanzia Mwinyi,Mkapa na JK ,hawa wote nawaita Waswahili. Tangu lini Mmakonde(kabila langu ), ukamwiesabu mtu serious!
Kuna makabila binti yako akiolewa ,ujue amekwisha. Angalieni Mzee Ruksa alivyoitwa shemeji na watoto wa shule !
Angalieni Mkapa aliyopelekwa puta na mkewe!
Angalieni Kiranja wa sasa anavyobehave.
May be fundisho kwa next president, tutakapo mchagua!
Kuna makabila binti yako akiolewa ,ujue amekwisha. Angalieni Mzee Ruksa alivyoitwa shemeji na watoto wa shule !
Angalieni Mkapa aliyopelekwa puta na mkewe!
Angalieni Kiranja wa sasa anavyobehave.
May be fundisho kwa next president, tutakapo mchagua!