Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,697
- 9,048
Rais mstahafu wa A3 Mzee Ben W. Mkapa nilimwona juzi akiwa Chato nyumbani kwa Rais Magufuli alikoenda kukabidhi nyumba 50 za Taasisi yake ya Mkapa Foundation iliyozijenga kwa ajili ya Watumishi wa Afya Chato!!!
Nimetafakuri sana huu uswahiba wa hawa jamaa wawili. Kwamba wakti wa Awamu ya 3 Mkapa akiwa Rais na Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi waliamua kwa maksudi kuuza nyumba zote za Serikali kiasi cha baadhi ya Watumishi wa Serikali kupangishiwa kwa gharama kubwa kwenye Mahoteli!! Nyumba hizi ziliuzwa kwa bei ya kutupa na baadhi ya nyumba wakijiuzia wenyewe na Familia zao!!
Inashangaza kuona leo hawahawa waliouza nyumba zetu wanaanza kulipana fadhila kupitia Foundation zilizoundwa kwa fedha ya walalahoi wakianza kujengeana nyumba kwenye maeneoa yao!!Kwanini Mkapa hajaamua kujenga hizi nyumba Dar, Arusha, Dodoma, Mbeya n.k. Why Chato??
Itakumbukwa kwamba Mkapa ndiye aliyemwibua Magufuli kutoka kwenye Waalimu na kumpa Uwaziri wa Ujenzi. Lakini pia Mkapa huyuhuyu wakti wa NEC ya kuteua jina la Mgombea Urais wa CCM ndye aliyewazunguka wenzake(Mwinyi, Kikwete, Salim,n.k) na kupenyeza jina la John Pombe Joseph Magufuli na kama ndoto ya Jinamizi Magufuli akaukwaa Urahisi!! Kwa sasa inaonekana madudu yote yaliyofanyika wakti wa Awamu ya 3(Mkapa na Magufuli) hayaguswi. Chunguza kwa umakini utaona makaburi yanayofukuliwa kwa sasa ni ya Kikwete na watu wake( IPTL, ESCROW, MAKINIKIA,n.k)
Mbona watu hawajahoji kuhusu RADA: UUZWAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI, MIRADI YA BARABARA HEWA NA FEKI, UNUNUZI WA NDEGE YA RAIS(Watu walikula nyasi),UNUNUZI WA FERRY YA BAGAMOYO n.k.
Tatizo la Watz hatujitambui na tunaburuzwa kama mkokoteni. Ndiyo maana Mkapa anawatukana Watz kwa kuwaita ni MALOFA na wavivu wa kufikri!! He can do anything and they won't react for nothing. Now, Mkapa and Magufuli are taking an advantage on the Tanzanians cowardice and foolishness!!!!
Nimetafakuri sana huu uswahiba wa hawa jamaa wawili. Kwamba wakti wa Awamu ya 3 Mkapa akiwa Rais na Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi waliamua kwa maksudi kuuza nyumba zote za Serikali kiasi cha baadhi ya Watumishi wa Serikali kupangishiwa kwa gharama kubwa kwenye Mahoteli!! Nyumba hizi ziliuzwa kwa bei ya kutupa na baadhi ya nyumba wakijiuzia wenyewe na Familia zao!!
Inashangaza kuona leo hawahawa waliouza nyumba zetu wanaanza kulipana fadhila kupitia Foundation zilizoundwa kwa fedha ya walalahoi wakianza kujengeana nyumba kwenye maeneoa yao!!Kwanini Mkapa hajaamua kujenga hizi nyumba Dar, Arusha, Dodoma, Mbeya n.k. Why Chato??
Itakumbukwa kwamba Mkapa ndiye aliyemwibua Magufuli kutoka kwenye Waalimu na kumpa Uwaziri wa Ujenzi. Lakini pia Mkapa huyuhuyu wakti wa NEC ya kuteua jina la Mgombea Urais wa CCM ndye aliyewazunguka wenzake(Mwinyi, Kikwete, Salim,n.k) na kupenyeza jina la John Pombe Joseph Magufuli na kama ndoto ya Jinamizi Magufuli akaukwaa Urahisi!! Kwa sasa inaonekana madudu yote yaliyofanyika wakti wa Awamu ya 3(Mkapa na Magufuli) hayaguswi. Chunguza kwa umakini utaona makaburi yanayofukuliwa kwa sasa ni ya Kikwete na watu wake( IPTL, ESCROW, MAKINIKIA,n.k)
Mbona watu hawajahoji kuhusu RADA: UUZWAJI WA NYUMBA ZA SERIKALI, MIRADI YA BARABARA HEWA NA FEKI, UNUNUZI WA NDEGE YA RAIS(Watu walikula nyasi),UNUNUZI WA FERRY YA BAGAMOYO n.k.
Tatizo la Watz hatujitambui na tunaburuzwa kama mkokoteni. Ndiyo maana Mkapa anawatukana Watz kwa kuwaita ni MALOFA na wavivu wa kufikri!! He can do anything and they won't react for nothing. Now, Mkapa and Magufuli are taking an advantage on the Tanzanians cowardice and foolishness!!!!