inawezekana
Member
- Jul 17, 2009
- 29
- 3
Katika miaka ya karibuni, kumekuwa na hali ambayo watafiti wa mambo ya kisiasa wameyaita kama usultani katk sura mpya. Mifano halisi ipo Zanzibar ambapo marehemu rais Abeid Amani Karume alimrithisha mwanae madaraka, Amani Abeid Karume, ktk hali isiyoaminika bado ndugu yake rais wa sasa ZNZ yaani Amani Abeid Karume aitwaye Ali Karume yuko mbioni kuja kugombea kiti cha urais ZNZ???
Mtiririko huo pia tumeuona kule mjengoni wakati spika wa bunge letu tukufu Samwel Sitta, na mkewe Magreth Sitta wakiwa mjengoni (hii ni familia moja) bado Pius Msekwa spika aliyepita na mkewe Anna Abdallah wote walikuwa mjengoni pia.
Swali linakuja nani spika anayekuja na mkewe atakuwa na madaraka gani, STAY TUNED
Haya tuangalie hali ya kinyang'anyiro cha ubunge katika kisiwa cha Mafia, ambako mbunge aliyethubutu hata kukitaka kisiwa cha MAFIA kiwe nchi wakati wa utawala wake uliodumu kwa takribani miaka 25 duh!, mwanawe ambaye ni diwani wa Kijitonyama anaitwa Omari Kimbau, anayeimbwa na AKUDO anayetaka kuwania kiti cha ubunge wa jimbo la Mafia.
Hojaji za wasiasa zimethibitisha kuwa, Baba yake Omari, Kanali Omari Kimbau ni mtu aliyeifikisha mahali pabovu ambapo Mafia ipo sasa. Je hatuoni kuwa ni wakati muafaka Mafia ifikirie kuondoa usultani huu sasa??
Naomba kuwakilisha
Mtiririko huo pia tumeuona kule mjengoni wakati spika wa bunge letu tukufu Samwel Sitta, na mkewe Magreth Sitta wakiwa mjengoni (hii ni familia moja) bado Pius Msekwa spika aliyepita na mkewe Anna Abdallah wote walikuwa mjengoni pia.
Swali linakuja nani spika anayekuja na mkewe atakuwa na madaraka gani, STAY TUNED
Haya tuangalie hali ya kinyang'anyiro cha ubunge katika kisiwa cha Mafia, ambako mbunge aliyethubutu hata kukitaka kisiwa cha MAFIA kiwe nchi wakati wa utawala wake uliodumu kwa takribani miaka 25 duh!, mwanawe ambaye ni diwani wa Kijitonyama anaitwa Omari Kimbau, anayeimbwa na AKUDO anayetaka kuwania kiti cha ubunge wa jimbo la Mafia.
Hojaji za wasiasa zimethibitisha kuwa, Baba yake Omari, Kanali Omari Kimbau ni mtu aliyeifikisha mahali pabovu ambapo Mafia ipo sasa. Je hatuoni kuwa ni wakati muafaka Mafia ifikirie kuondoa usultani huu sasa??
Naomba kuwakilisha