John10
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 357
- 11
Unapoandika lazima uwe na Facts. Kwanza inabidi ukubali kwamba CCM ni chama tawala. CCM kinapata ruzuku zaid,i kama Chama Tawala. Halafu Rais, anayo HAKI ya kutumia ndege kwa ajili ya Kampeni zake; kwa sababu bado ni Rais wa nchi.
Mama Salma Kikwete anayo HAKI ya kutumia ndege kwa ajili ya kumpigia kampeni mumewe, kumbuka mama Salma Kikwete ni First Lady.
Rais anayo HAKI ya kutumia Hela za Serikali kwa ajili ya kupanga rangi Ikulu. Kumbuka Ikulu ni mali ya Watanzania. Sasa kuna ubaya gani kwa Rais kupaka Rangi nyumba ya WTZ?
Kuwa na point unapozungumza na SIYO blah blah blah blah.
Mama Salma Kikwete anayo HAKI ya kutumia ndege kwa ajili ya kumpigia kampeni mumewe, kumbuka mama Salma Kikwete ni First Lady.
Rais anayo HAKI ya kutumia Hela za Serikali kwa ajili ya kupanga rangi Ikulu. Kumbuka Ikulu ni mali ya Watanzania. Sasa kuna ubaya gani kwa Rais kupaka Rangi nyumba ya WTZ?
Kuwa na point unapozungumza na SIYO blah blah blah blah.