USTADH MGANGA ATABIRI RAIS KUPOKEA TUZO ZA KIMATAIFA

Tao

Member
Nov 10, 2018
95
157
Public

Ustadh Mganga ambaye ni bingwa wa utabiri hapa Afrika Mashariki ametabiri kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan hivi karibuni ataanza kupokea tuzo za kimataifa kutokana na kazi kubwa ambayo amekuwa akifanya hasa katika nyanja za amani,demokrasia na utawala bora,pamoja na mapambano dhidi ya umaskini.
Hili ni jambo jema kwani Jumuiya ya kimataifa imetambua kazi kubwa inayofanywa na Rais huyo wa awamu ya sita.
 
Mbona Mheshimiwa Raisi SSH yupo safi,wasiomuelewa mpe muda katika miaka 2 mtarudi hapa kumlamba miguu.Wapo wamejawa na ulafi wanamchafua,its too late,our President ni very smart,do not under rate her.
Mama yetu she is a perfect leader not ruler.
Mungu azidi kumuongoza.
 
Back
Top Bottom