Ustaadhi Messi

Mlaleo

JF-Expert Member
Oct 11, 2011
13,387
9,753
i


Issue alikosea upande wa Kibra...

Full Midevu
 
Ameamua kujitoa kutoichezea timu ya taifa halafu Diego Maradona aliwaambia wasipotwaa kombe wasirudi Argentina
 
Ana Gundu... Fainali Nne.. zote hola... Nishasafiri na mtu kama huyu ana gundu balaa huko kilimanjaro njia zile zilizopasuliwa milimani huyo jamaa akipanda msipomshusha gari linaweza tumbukia korongoni... Wacha na yeye aachie Ngazi sifa Nyingi...

Bora Aenze kubong'oa tu apate thawabu...
 
Mimi sijui atawafanyaje ila kama unakumbuka kauli yake aliyoitoa akiwa kocha wa timu ya taifa fainali za kombe la dunia 2010 alisema akitwaa kombe atatembea uchi mitaa yote ya AIRBUENOS ARGENTINA kauli zake zina utata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom