Elections 2010 Uspika

tetesi la Chenge kuwa spika lilianza muda mrefu sana kwamba plans za CCM ni kumpa Chenge uspika ili amsafishe Rostam na Lowassa then 2015 Lowassa aombee uraisi. Tulilisema watu wakabisha sasa oneni yanayoendelea. Na hivi wabunge wengi ni wa CCM uwezekano wa Chenge kuukwaa uspika ni mkubwaaaaaaa. Kwakweli tunahitaji delivarence hii ni hatari indeed!
 
Waacheni wamchague maana ndiyo watajimaliza wenyewe. Yangu macho kama vijicenti atapata usipika na malengo yakawa ni kuwalinda mafisadi basi Njia ya Chadema 2015 iko wazi na itapita KWA ULAINI KAMA UNANAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!:smile:
 
tetesi la Chenge kuwa spika lilianza muda mrefu sana kwamba plans za CCM ni kumpa Chenge uspika ili amsafishe Rostam na Lowassa then 2015 Lowassa aombee uraisi. Tulilisema watu wakabisha sasa oneni yanayoendelea. Na hivi wabunge wengi ni wa CCM uwezekano wa Chenge kuukwaa uspika ni mkubwaaaaaaa. Kwakweli tunahitaji delivarence hii ni hatari indeed!

Mkuu Makiyuve heshima mbele.

Uko sawa kabisa hizi tetesi zilikuwapo siku nyingi na sasa kweli yanatokea. Lakini inaweza kula kwao kwa kuwa Chenge anatuhuma mbili kwanza iliyomfanya ajiuzulu na pili ni ile kesi inayoendelea ya kuendesha gari bi insurance na kusabisha vifo vya watu wawili au watachakachua hata hiyo kesi pia? But CCM are capable of anything.
 
Tutakuwa na kiongozi wa watunga sheria ambaye anaongoza kuvunja sheria.
 
Waacheni wamchague maana ndiyo watajimaliza wenyewe. Yangu macho kama vijicenti atapata usipika na malengo yakawa ni kuwalinda mafisadi basi Njia ya Chadema 2015 iko wazi na itapita KWA ULAINI KAMA UNANAWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA!:smile:

watajimaliza wenyewe kivipi tena? hata hiyo 2015 watachakachua tu.kwani JK ameshinda 2010? watashindwaje kufanya the same 2015?
 
Kama chenge atapewa ubunge basi nchi imekwisha! Huyu jamaa anatoa wapi guts za kuchukua fomu ya kugombea wakati Ana tuhuma kibao.sidhani Kama atapigiwa kura huyu
 
yani hawa ccm wanaona viongozi wenye kasoro ndo wanatufaa, kweli wanatudharau, i pray slaa does something..........
 
Kama chenge atapewa ubunge basi nchi imekwisha! Huyu jamaa anatoa wapi guts za kuchukua fomu ya kugombea wakati Ana tuhuma kibao.sidhani Kama atapigiwa kura huyu

Ukiona Chenge kawa na ujasiri wa kuchukua form ujue kuna plan inafanywa nyuma ya pazia na kina EL, RA and company. Na usishangae atashinda hivi hivi tunavyosema haiwezekani.
 
Hapo bado mtu wao hajachukua fomu ndiyo maana wameongeza muda........aka mzee wa monduli.....lengo lao ni kuwanyamazisha wabunge wa upinzani katika kuibua hoja za kuchallenge serikali.:A S angry:
 
Wanajanvi Njia za MUNGU hazichunguziki, sisi tunaweza kudhani hii ni advantage kwa mafisadi kumbe ndo wanajimaliza wenyewe. mimi ninavyoona hapa ni anguko la Baberi mkuu linakuja sasa! Mimi naona MUNGU anaenda kuikomboa Nchi yetu toka mikononi mwa hawa wanyang'anyi. Yangu macho kama spika ni Kenge au Richman from monduli basi anguko la Chama cha majambazi ni dhahiri na Ndiyo itakuwa Kauli mbiu ya ushindi 2015. Jamani waacheni wapite hasa EL ili tupate point nyingine. Tunahitaji pointi kama hii ili tuitumie kuwamaliza.

Napenda tuondoe hofu ya kuibiwa kura tena 2015 maana ushindi utakuwa ni dhihiri kama tutafanya home work ya kueneza elimu ya urai huko vijijini. Pia tutajiandaa kulinda kura zetu kama tulivyofanya kwa kura za ubunge hakuna atakayedhubutu kusimama kwenye njia ya mafuriko 2015!
 
CCM wanaua demokrasia ndani ya bunge, mkumbuke 2005 Sitta alimmwaga Msekwa na wote walikuwa wanatoka CCM, iweje safari hii wateue mtu mmoja kuiwakilisha CCM? Kwanza huko ni kuingilia mambo ya bunge, hii ina maana Spika atakuwa anachaguliwa na CCM na sio wabunge.
 
:nono::nono::nono::nono::nono:Aya Kenge. Hebu ingia bungeni tuone tuliowatuma watakavyotudharau na kukupigia kura za kukuweka kuwa SPIKA.:nono::nono::nono::nono:
 
Ukiona Chenge kawa na ujasiri wa kuchukua form ujue kuna plan inafanywa nyuma ya pazia na kina EL, RA and company. Na usishangae atashinda hivi hivi tunavyosema haiwezekani.

Ni kweli Mpenda Kwao, huyu El na RA nchi wataipeleka pabaya, wameshaiba vya kutosha ila hawajaridhika. Unajua kuna wakati watu watachoka, kwanza tumeshaanza kuchoka, kifuatacho ni kujitoa mhanga kama wapalestina wanavyofanya.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom