Nsalaga Uyole
Member
- Mar 1, 2020
- 56
- 47
Mbeya ilizaliwa Sugu akiwa Mbunge au ilikuwepo kabla?Utaulizaje miaka 10 ya Sugu na kuacha kuuliza miaka 46 ya CCM!Hilo swali kamuulize Sugu, alifanya kitu gani kwa miaka 10 aliyokalia ubunge Mbeya?
Mbeya ilizaliwa Sugu akiwa Mbunge au ilikuwepo kabla?Utaulizaje miaka 10 ya Sugu na kuacha kuuliza miaka 46 ya CCM!Hilo swali kamuulize Sugu, alifanya kitu gani kwa miaka 10 aliyokalia ubunge Mbeya?
Wahuni wako CCM muulize PlplNI UJINGA KUTETEA MHUNI AMBAYE HAKUNA KAZI ALIYOKUA ANAFANYA HUKO MBEYA YAANI MNAJIONYESHA NI KIASI GANI HAMFA KUPEWA NCHI CHADEMA NYIE NI WAPINZANI WA KUDUMU TU
Bunge lenyewe liko wapi? Patupu paleKwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
Basi waulize wana Mbeya kwa nini sehemu zingine za nchi zina maendeleo mazuri ya barabara wakati Mbeya hakuna! Ustuletee bla blah hapa!Mbeya ilizaliwa Sugu akiwa Mbunge au ilikuwepo kabla?Utaulizaje miaka 10 ya Sugu na kuacha kuuliza miaka 46 ya CCM!
Kijiji kikubwa kile mkuuHivi ujenzi wa barabara nne au hata mbili kutoka uyole mpaka mbalizi uliishia wapi? hivi kwa ukuaji wa jiji la Mbeya hao waheshimiwa kinachowashinda ninini?jiji kabarabara ka njia moja inashindwa hata na baadhi ya mikoa ambayo sio jiji, shame!
polepole mwenyewe ndiyo mhuni namba moja nani hajui hata wewe unajuwa kama hujui niambie uhuni wa polepoleWahuni wako CCM muulize Plpl
Bla bla unaleta wewe unayemtaja Sugu wa juzi tu,uccm umekuathiri kichwani.Basi waulize wana Mbeya kwa nini sehemu zingine za nchi zina maendeleo mazuri ya barabara wakati Mbeya hakuna! Ustuletee bla blah hapa!
uzi unahusu Tulia Acksonkwani ubunge wa Sugu ulitusaidia nini sisi wakazi wa Mbeya mjini zaidi ya kumsaidia yeye mwenyewe kutuharibia vyanzo vya maji na kujenga hoteli ambayo hakutegemea kuwa nayo maishani, bila kuwa mbunge Sugu alikuwa lofa tu wa kuchezesha midomo kwenye matamasha.
Unataka kulinganisha huyo Betina na Rais Sugu?Siyo lazm kuwe na tija hata tu ile political mailage inakuwa Safi mm nawapongeza kwa kuweza kutoa angalau mtu ambaye atakuwa mashuhuri katika taifa hili akitokea mbeya uoni hyo Ni sifa nzuri kwa mkoa kwa ujmla wake mtu kutoa mkuu wa muhimili Ni sifa nzuri San hyo ..tofauti na Huku kaskazini tunazidi kupoteza popularity za siasa Sana umaharufu wetu unapongua hvyo nawapongeza sna shemeji zangu kwa kupata nafasi za ukuu wa muhimili
Dunia yote inajuaUnataka kulinganisha huyo Betina na Rais Sugu?
CCM acheni hizo huyo ni mbunge wa dictator magufuli Wala hii mbeya haikumchagua hata kidogo
pole ya nini ?Pole sana