NI UJINGA KUTETEA MHUNI AMBAYE HAKUNA KAZI ALIYOKUA ANAFANYA HUKO MBEYA YAANI MNAJIONYESHA NI KIASI GANI HAMFA KUPEWA NCHI CHADEMA NYIE NI WAPINZANI WA KUDUMU TUjishughulishe kujua wewe mwenyewe , sugu hajawahi kutembea na majeneza
Maendeleo ya eneo:Kwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
yaani we bi dada ukikosaga point sikuzingine unaongeaga pumba kweli sijui leo hujafikishwa kileleni ? maana unaongea vitu visivyo na maana kabisa kwataarifa yakotegemea maendeleo makubwa sana mbeya mjini kwa sasaKwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
Katika wanaccm wewe ni kama vumbi tuyaani we bi dada ukikosaga point sikuzingine unaongeaga pumba kweli sijui leo hujafikishwa kileleni ? maana unaongea vitu visivyo na maana kabisa kwataarifa yakotegemea maendeleo makubwa sana mbeya mjini kwa sasa
Acha kuweweseka tunajua ni roho ya kwanini kwa vile alimshinda mwana chadema suguKwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
Tulia hajawahi kushinda uchaguzi wowote Mbeya , kuanzia uongozi wa kwaya wala u monitor wa darasa la 7Acha kuweweseka tunajua ni roho ya kwanini kwa vile alimshinda mwana chadema sugu
Urambo kwa marehemu 6 umeiisahau napo ni majangaKwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
Lile kusanyiko la wachumia tumbo litaachaje kumpisha kwa mfano?Kwani tayari huyu dada Maringo kapitishwa ?
kwani ubunge wa Sugu ulitusaidia nini sisi wakazi wa Mbeya mjini zaidi ya kumsaidia yeye mwenyewe kutuharibia vyanzo vya maji na kujenga hoteli ambayo hakutegemea kuwa nayo maishani, bila kuwa mbunge Sugu alikuwa lofa tu wa kuchezesha midomo kwenye matamasha.Kwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
Unapongeza UJINGA mtupu. Waachie nao wajinga wapokee hizo pongezi.Siyo lazm kuwe na tija hata tu ile political mailage inakuwa Safi mm nawapongeza kwa kuweza kutoa angalau mtu ambaye atakuwa mashuhuri katika taifa hili akitokea mbeya uoni hyo Ni sifa nzuri kwa mkoa kwa ujmla wake mtu kutoa mkuu wa muhimili Ni sifa nzuri San hyo ..tofauti na Huku kaskazini tunazidi kupoteza popularity za siasa Sana umaharufu wetu unapongua hvyo nawapongeza sna shemeji zangu kwa kupata nafasi za ukuu wa muhimili
Kama Mbeya itapata barabara 4, za kuboresha ile iliyopo, itakuwa siyo kwa sababu ya Tulia Ackson bali matakwa ya Nchi na Nchi jirani za Zambia, DRC na Malawi.4. Hofu ya mtoa mada ni jambo la kawaida kwamba sasa Tulia ataangalia a broad agenda ya wabunge wote na kusahau Mbeya. Mbeya. ataikumbuka kwa marathon, shindano la ngoma, etc etc
Unaleta kampeni chafu mwaka 2022 badala ya kusubiri 2025.Kwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
Rambi rambi huonyesha ukaribu wa mbunge kwa wananchi wake, hufuta machozi ya wafiwa. Huonyesha ukaribu na ubinadamu wa mbunge kwa wapiga kura wake.Kama Mbeya itapata barabara 4, za kuboresha ile iliyopo, itakuwa siyo kwa sababu ya Tulia Ackson bali matakwa ya Nchi na Nchi jirani za Zambia, DRC na Malawi.
Tulia anaweza vitu mediocre kama kukopesha Bajaj, kuleta maahindano ya ngoma, kuleta marathon. Watu wa Mbeya wanaridhika na vitu vya hovyo sana. Kwa mfano wanafurahi anapowapa rambi rambi kila msiba ukitokea
Na ameona akili za wakazi wa Mbeya zinaridhika na UJINGA huo
Hadhi ya bunge inazidi kupotea, wabunge wanalipwa mamilion ya pesa bila kazi yoyote
Ingawa sija furahishwa na kuipitisha kwake kuwa mgonjwa pekee wa Uspika toka kundi la wagombea 70, lakini ni matumaini yangu kwamba Mbeya itafaidika kwa Ujio wake, kama matumizi ya Tazara n.kKwa vile huyu Dada yangu ameteuliwa na CCM yenye wabunge wote ndani ya Bunge la Tanzania basi bila shaka huyu ndiye Spika ajaye.
Hakuna Jimbo lolote lililowahi kutoa Spika na likapata maendeleo, fanyeni utafiti mdogo ili mjikumbushe, hii inatokana na ukweli kwamba Spika wa bunge la Tanzania ndio muhuri wa kupitisha uchafu wote wa serikali zikiwemo hata bajeti zilizooza, maspika wengi wa nchi hii wanaogopa kupigania maendeleo ya kwao ili kutoonekana wana upendeleo, angalia Ukerewe ya Msekwa ama Kongwa ya Ndugai.
Ndugu zangu wa Mbeya wakati wa maumivu Makubwa umefika rasmi, jiandaeni.
😂😂😂😂😂😂😂Kwani Sugu aliondoa umasikini kule Mbeya?
Mpka Iringa wametushindaHivi ujenzi wa barabara nne au hata mbili kutoka uyole mpaka mbalizi uliishia wapi? hivi kwa ukuaji wa jiji la Mbeya hao waheshimiwa kinachowashinda ninini?jiji kabarabara ka njia moja inashindwa hata na baadhi ya mikoa ambayo sio jiji, shame!