Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,115
- 35,129
Kama Tulia anaamini kuwa kwa sasa anafaa kuwa Spika, kwanini asijiuzuru nafasi ya unaibu spika ili awe na sifa za msingi kuweza kujadilika na chama chake kugombea uspika?
Ikiwa wanakanyaga katuba ya nchi wawapo bungeni ni rahisi kuendelea kukanyaga sifa za wagombea.Kwa hiyo CCM itakaa na kujadili ili kumpitisha mtu asiyekuwa na sifa za msingi za kugombea kuwa Spika ili akishapitishwa ndio aende kuwa na sifa?
Kwa hiyo Tulia ameingi mkataba binafsi na CCM kuwa akipitishwa kugombea uspika ndio ataachia kiti cha unaibu spika?
Kwa hiyo CCM inafanya shughuli zake kama bahati nasibu au betting?
Kama CCM watafanya hivyo hicho kitakuwa ni chama cha ajabu ajabu sana.
Anaweza kukosa vyoteKana tamaa
Huyu bibi kwa tamaa anaweza hata kupindua nchiKana tamaa
Atapitishwa kwenda kuisaidia serikaliNa atagombea tu na ana asilimia 50 ya kupita,, kwani nyani ni walewale
Anataka viti vyote 2Kwa maana hiyo, Tulia atakuwa absent, na powers zake zitapewa kwa muda kwa waliotajwa hapo, na atakaporudi ataendelea kama kawaida. Kuwa absent haimaanishi kiti kuwa vacant, ila kiti kuwa vacant inamaanisha automatically aliyetakiwa kukikalia kuwa yupo absent
" .....mimi huwa sibishiwi.......tena ukinishauri ndio unaharibu kabisa.........."Tanzania hatuna katiba tuna maoni ya raisi,hivyo ni vyema angeulizwa Samia kuwa anachukuliaje Hilo swala
kana tamaa ndio maana hakanenepi
Ni lazima ujue kisheria neno 'absence' na "resignation" ni vitu viwili tofauti. Ndiyo maana Shughuli zote za Bunge zimesimama kwa sababu Speaker ame resig siyo kwa sababu Speaker is absent.Mjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo Dk. Tulia ana sifa au la za kugombea nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge (Na. 3 ya 1988) hususani kifungu cha 41 (1&2), Dk. Tulia kwa sasa ni Kaimu Spika wa Bunge mpaka pale kiti cha Spika kitakapojazwa. Ibara ya 84 (2) ya Katiba ya JMT inaeleza kuwa mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yaliyotajwa na Sheria ya Bunge, hana sifa za kugombea uspika.
Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge inamtaja Dk. Tulia kwa sasa kuwa ni Kaimu Spika, hii ni ofisi/madaraka na imetajwa na Sheria ya Bunge. Dk. Tulia hana sifa za kugombea uspika, asijidanganye kuwa Ibara ya 84 (2) haijamtaja, asome Sheria namba ya 1988 aone kuwa kwa cheo chake cha Kaimu Spika amezuiwa kugombea uSpika. HANA SIFA
View attachment 2079266
Wana Chadema mnamchukia kwasababu 2015 aliwashughulikia vizuri kwenye ile Kesi ya Mita 200.Kana tamaa
Mjadala umeibuka nchini baada ya Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la JMT iliyoachwa wazi baada ya Ndugai kujiuzulu. Hoja bishaniwa imekuwa ni iwapo Dk. Tulia ana sifa au la za kugombea nafasi hiyo.
Kwa mujibu wa Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge (Na. 3 ya 1988) hususani kifungu cha 41 (1&2), Dk. Tulia kwa sasa ni Kaimu Spika wa Bunge mpaka pale kiti cha Spika kitakapojazwa. Ibara ya 84 (2) ya Katiba ya JMT inaeleza kuwa mtu mwenye madaraka ya aina nyingine yoyote yaliyotajwa na Sheria ya Bunge, hana sifa za kugombea uspika.
Sheria ya Kinga, Haki na Madaraka ya Bunge inamtaja Dk. Tulia kwa sasa kuwa ni Kaimu Spika, hii ni ofisi/madaraka na imetajwa na Sheria ya Bunge. Dk. Tulia hana sifa za kugombea uspika, asijidanganye kuwa Ibara ya 84 (2) haijamtaja, asome Sheria namba ya 1988 aone kuwa kwa cheo chake cha Kaimu Spika amezuiwa kugombea uSpika. HANA SIFA
View attachment 2079266
Ujumbe wenye tafsiri yakiwango cha juu sana.endelea kutuchambulia.watu wapo kishabiki tu kwa uchawa wa ukada.Ni lazima ujue kisheria neno 'absence' na "resignation" ni vitu viwili tofauti. Ndiyo maana Shughuli zote za Bunge zimesimama kwa sababu Speaker ame resig siyo kwa sababu Speaker is absent.
Siku zote absence ya Speaker kwa sababu yeyote ile ilikuwa haizuii shughuli za Bunge kuendelea chini ya Deputy Speaker au Wenyeviti wa Bunge.
Hivyo kwa sasa Naibu Speaker siyo Kaimu Speaker kwa mujibu wa sheria hii. Kawaida akiwepo Kaimu shughuli zitaendelea kama kawaida, lakini kwa sasa shughuli za Bunge zimesimama kwa sababu hakuna Speaker na hakuna Kaimu kwa kuwa Speaker has resigned na siyo kuwa Speaker is absent.
Inawezekana umeajadili mada pasipo kusoma attachment iliyowekwa na mada. Imesema kabisa kuwa absent ni pamoja na vacancy ya hicho kiti, isome vyema hiyo sheria.Ni lazima ujue kisheria neno 'absence' na "resignation" ni vitu viwili tofauti. Ndiyo maana Shughuli zote za Bunge zimesimama kwa sababu Speaker ame resig siyo kwa sababu Speaker is absent.
Siku zote absence ya Speaker kwa sababu yeyote ile ilikuwa haizuii shughuli za Bunge kuendelea chini ya Deputy Speaker au Wenyeviti wa Bunge.
Hivyo kwa sasa Naibu Speaker siyo Kaimu Speaker kwa mujibu wa sheria hii. Kawaida akiwepo Kaimu shughuli zitaendelea kama kawaida, lakini kwa sasa shughuli za Bunge zimesimama kwa sababu hakuna Speaker na hakuna Kaimu kwa kuwa Speaker has resigned na siyo kuwa Speaker is absent.
Na kweli yametimiaKama COVID-19 bado wanadunda mjengoni sioni ajabu kwa kifungu hiki pia kukanyagwa!
View attachment 2079358